YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,906
- 51,939
- Thread starter
- #61
Kwani Russia kuua watoto kaanza leo? Huu mbona mwaka wa Pili anaua tu ndio maana Ukraine wamekomaa hadi kielewekeWiki ijayo mtakuja hapa kusema Russia anaua watoto Ukraine
Leo mnasema amebakiwa na kifaru kimoja cha mwaka afu tisa Mia
Ukraine ana hasira na uchungu kwa watoto wao waliouawa
Wanasema no retreat no surrender hadi kieleweke
Hata kama vita itachukua miaka 100