Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,730
- 19,879
kucha ni kwa ajili ya kuchania condom!
Mmmmh?
kucha ni kwa ajili ya kuchania condom!
Kucha kwa ajili ya kukuparua hasa shingoni na mgongoni. Shanga ni pambo na wengine hupenda kuzichezea.
Ndo namshangaa.
Siku hizi naona urembo lazima uhusishe na sex.
Liz na mwenzako kama nimewaudhi nisameheni maana mi nataka kujua tu jaman mbona rahisi tu.(SOTE NI NDUGU)
hiii ni noma yaani angechunguza vizuri angekuta hata
wife wanamkameroon wakati yeye hajawahi kwenda
kwa Cameroon
Leo jamanii, ktk maandalizi ya 50 yrs ya uhuru nikasema sio mbaya niwaangalie wanawake miguuni, wengii wa rika tofauti tena ni wafanyakazi ktk ofisi zinazoheshimika za serikali, wengii vikuku, vikukuuu tena hata wali physically ukimwona unampa heshima, ukimwangalia mguuni unabaki mdomo waziii, huku makalioo kabanaaa, yaaani mweee, i'm speechless.... Basi nikatoka nikaenda pista mpya nikapata parking, naelekea supermarket, nikicheki miguuni mambo yale yale ya 071.... Kama kawa biashara matangazo...
Hii kitu ya 071.... kumbe ipo wazi sana, mtandaoo unatumika sana, mtu asilete kupinga hapa mara oohh... people wanatumia saaaana.... kwa raha... olalaaaa Dar..
Acha ujinga . . . . urembo na heshima wapi na wapi?
We sema tu ulitaka tujue una gari na hua unaendaga supermarket.Ila umesahau kuonyesha unaweza kuspell Posta.
Daaaah yaani siku zote nilidhani wewe mpole sana!!!!!Acha ujinga . . . . urembo na heshima wapi na wapi?
We sema tu ulitaka tujue una gari na hua unaendaga supermarket.Ila umesahau kuonyesha unaweza kuspell Posta.
Daaaah yaani siku zote nilidhani wewe mpole sana!!!!!