Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,211
- 1,185
Hivi katika maisha ya kawaida mtu anapoanzisha urafiki na msichana au mvulana kuna kitu anakilenga mbeleni,lakini urafiki wa miaka ya karibuni unaonyesha kwamba unapelekea kwenye mapenzi,cha ajabu wasichana wengi ukiwapelekea kwenye topic za mapenzi anadai kuwa muendelee kuwa marafiki hivi hapo urafiki utaendelea kudumu kweli kama topic za mapenzi zimeanza kuchukua nafasi kweli wadau??????hii ni kwa wote wasichana ambao wanataka urafiki wakati ameshatambulishwa issue za mapenzi