A
Anonymous
Guest
Upunguzwaji wa Mabebewa kiholela kwenye Treni ya Mwakyembe (Tazara - Mwakanga) ni kero kubwa kwa abiria, inajaza kupita kiasi na kuhatarisha Usalama wa abiria.
Imekuwa hatari pia kwa magonjwa ya mlipuko ya kuambukiza.
Tunaombeni mtufikishie ujumbe huu.
Hizi picha zinaonesha namna tunavyobanana ndani ya behewa moja
Imekuwa hatari pia kwa magonjwa ya mlipuko ya kuambukiza.
Tunaombeni mtufikishie ujumbe huu.
Hizi picha zinaonesha namna tunavyobanana ndani ya behewa moja