Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,765
- 218,383
Kusema Lissu anahutubia Arusha na wakati yuko kweli Arusha anahutubia uongo au uchochezi wake ni upi ?Wanajitahidi kusafisha taarifa za uongo na uchochezi.
Kusema Lissu anahutubia Arusha na wakati yuko kweli Arusha anahutubia uongo au uchochezi wake ni upi ?Wanajitahidi kusafisha taarifa za uongo na uchochezi.
Si kweli mkuu , wewe kwanza hukuwemo humu kwa muda mrefu sasa huu uzushi umetoa wapi ? JF haiwezi kuwa kama Uhuru FM na siku ikiwa hivyo tutatoka tuMods wanakesha kuhakikisha taarifa za uongo na uchochezi hazichafui jina la JF.
Kampeni za Lissu zimefungiwa kwa siku saba kwa sababu ya yeye kutokuheshimu maadili ya uchaguzi kwa kitendo chake cha kutoa taarifa za uongo zinazolenga kuigombanisha tume na wananchi, hali ambayo inahatarisha amani ya nchi yetu.Kusema Lissu anahutubia Arusha na wakati yuko kweli Arusha anahutubia uongo au uchochezi wake ni upi ?
JF is where we dare to talk openly mkuu. Uhuru unaenda sambamba na wajibu. Mods wanajitahidi saaaaaaana.Si kweli mkuu , wewe kwanza hukuwemo humu kwa muda mrefu sasa huu uzushi umetoa wapi ? JF haiwezi kuwa kama Uhuru FM na siku ikiwa hivyo tutatoka tu
kwamba hata kampeni alizofanya kwa siku zote zile zimefungiwa , unataka kusema JF ni wakala wa TUME ?Kampeni za Lissu zimefungiwa kwa siku saba kwa sababu ya yeye kutokuheshimu maadili ya uchaguzi kwa kitendo chake cha kutoa taarifa za uongo zinazolenga kuigombanisha tume na wananchi, hali ambayo inshatarisha amani ya nchi yetu.
unachanganya mambo mengi sana kwa wakati mmoja , ngoja nikupuuze tuJF is where we dare to talk openly mkuu. Uhuru unaenda sambamba na wajibu. Mods wanahitaji saaaaaaana.
Mkuu, tuendelee kupost vitu vyenye manufaa kwa nchi yetu. Tuwape Mods support wailinde image ya JF.kwamba hata kampeni alizofanya kwa siku zote zile zimefungiwa , unataka kusema JF ni wakala wa TUME ?
Yaani Mods waogope nyuzi za CHADEMA hata zilizo live huko ndio kulinda image kwa namna gani, hata taarifa ya Lissu kusali Azania Front nayo ukiiondoa unalinda image ya JF? Hii kwangu ni mpya sana!Mkuu, tuendelee kupost vitu vyenye manufaa kwa nchi yetu. Tuwape Mods support wailinde image ya JF.
Mkuu, Lissu kampeni zake zimefungiwa. Kuonyesha live shughuli zake za kujinadi kwenye maeneo mbalimbali ni kuvunja sheria.Yaani Mods waogope nyuzi za chadema hata zilizo live huko ndio kulinda image kwa namna gani , hata taarifa ya Lissu kusali Azania Front nayo ukiiondoa unalinda image ya jf ? hii kwangu ni mpya sana !
uko nje ya mada na wala hujaelewa ninachozungumzia , hongera kwa kufanikiwa kunipotezea mudaMkuu, Lissu kampeni zake zimefungiwa. Kuonyesha live shughuli zake za kujinadi kwenye maeneo mbalimbali ni kuvunja sheria.
Tuheshimu sheria za nchi yetu. Tunayo nchi moja tu. Tuitunze. Tukiiharibu hatuna kwa kukimbilia.
Sawa mkuu, asante sana kwa muda wako.uko nje ya mada na wala hujaelewa ninachozungumzia , hongera kwa kufanikiwa kunipotezea muda
NEC wakitufanyia UFEDHULI tutaingia barabarani tu, mapolisi wenyewe sio wengi kivile.Hatutaki mtu mwenye wazo la kuingiza watoto wa watu barabarani wavunjike miguu.
Basi beberu ni Nani? Maana Tundu Lissu ni mtume wa Bwana, amekuja kutukomboaLissu katumwa na Mabeberu na wewe mtoa post umetumwa na Lissu!
Ahahahahahahaha! Subiri baada ya Oktoba 28 ndio uliseme hilo.Basi beberu ni Nani? Maana Tundu Lissu ni mtume wa Bwana, amekuja kutukomboa
We hujui hata unaongea nini tulia Una mquote Nyerere kwa uozo na je Aliyesema CCM si mama yangu alikua ni nani?Wewe loloma uwezavyo lakini Mwalimu Nyerere alisema, "I can't let my country go to the dogs!". Alimaanisha akina Lissu. CCM ipo kuhakikisha kauli ya Mwalimu Nyerere inaenziwa!
To add on that Lucky Dube's song says: it takes a million people to build up a reputation but it takes one stupid fool to bring it down.“You don't necessarily need atomic bombs to destroy a nation. Politicians who value their pockets than the life of citizens always do that every day.” ~ Israelmore Ayivor