Upotevu wa makontena: Filamu iliyomaliziwa vibaya

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Filamu ilianza vyema. Masteringi wawili walioneshwa wakipania kucheza filamu ya kusisimua. Wakaanza kwa ziara za kushtukiza zisizo na giza. Wakaibuka na hata orodha ya mambo ya forodha. Mkaratasi usio na wasiwasi ukiwa na idadi ya vyenye ukakasi ukaoneshwa.

Wapo waliosimamishwa. Wapo waliopoteza kazi. Wapo waliokamatwa na kushtakiwa. Wapo waliopanda vyeo. Wapo walioshushwa vyeo. Wapo waliotakiwa kulipa kwa siku kadhaa. Wapo wasioonwa na kubaki wakinona.

Makontena yakaongezeka kupotea. Masteringi wakapania zaidi. Ikasemwa kuwa sasa idadi ni ya kutisha. Maelfu ya makontena yakasemwa yamepotea au hayakulipiwa kodi. Masteringi wakapania. Wakaungwa mkono. Wakaaminiwa.

Halafu,ukimya ukatawala. Kwa yale ya mwanzo na hata ya mwisho. Ni kama Masteringi kumalizia filamu vibaya. Ni kama filamu kuisha kwa maadui kushangilia ushindi na Masteringi kutoonekana tena. Filamu ilikuwa tamu na ya kutia hamu. Ilichezwa kiufundi bila kumwaga damu. Mwisho wake umeharibu. Tuendelee kuamini?

Christmas njema!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Pamoja na kufuata na kusimamia Sheria......Busara na Hekima lazima vitawale kwa jambo lolote lile liwalo......
 
Sterling wamakontena anajulikana. Akitajwa, mwisho wake utasikia udini utaingia.
 
Filamu ilianza vyema. Masteringi wawili walioneshwa wakipania kucheza filamu ya kusisimua. Wakaanza kwa ziara za kushtukiza zisizo na giza. Wakaibuka na hata orodha ya mambo ya forodha. Mkaratasi usio na wasiwasi ukiwa na idadi ya vyenye ukakasi ukaoneshwa.

Wapo waliosimamishwa. Wapo waliopoteza kazi. Wapo waliokamatwa na kushtakiwa. Wapo waliopanda vyeo. Wapo walioshushwa vyeo. Wapo waliotakiwa kulipa kwa siku kadhaa. Wapo wasioonwa na kubaki wakinona.

Makontena yakaongezeka kupotea. Masteringi wakapania zaidi. Ikasemwa kuwa sasa idadi ni ya kutisha. Maelfu ya makontena yakasemwa yamepotea au hayakulipiwa kodi. Masteringi wakapania. Wakaungwa mkono. Wakaaminiwa.

Halafu,ukimya ukatawala. Kwa yale ya mwanzo na hata ya mwisho. Ni kama Masteringi kumalizia filamu vibaya. Ni kama filamu kuisha kwa maadui kushangilia ushindi na Masteringi kutoonekana tena. Filamu ilikuwa tamu na ya kutia hamu. Ilichezwa kiufundi bila kumwaga damu. Mwisho wake umeharibu. Tuendelee kuamini?

Christmas njema!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Naona unataka kufa au kufia jela kabla ya wakati Wako, hivi cyber crime law haikuhusu wewe?
Nani analea upuuzi huu, Ni rais aliyemaliza muda wake? Hosea? T. Somaia? Manji? Sir. Andy Chande? J. Patel? Ben? Ritz1?.
 
Siku jambazi mkuu atakapoachia kiti cha enzi (Uenyekiti) ndipo filamu hii itakapoisha kwa ukamilifu wake. Kwasasa chukulia kama ni part1 Part2 to be continued

BACK TANGANYIKA
 
Hahaaa,unazngua mzee TupaTupa.subir movie yenyewe hlo lilikuwa trela tu.
 
Filamu ilianza vyema. Masteringi wawili walioneshwa wakipania kucheza filamu ya kusisimua. Wakaanza kwa ziara za kushtukiza zisizo na giza. Wakaibuka na hata orodha ya mambo ya forodha. Mkaratasi usio na wasiwasi ukiwa na idadi ya vyenye ukakasi ukaoneshwa.

Wapo waliosimamishwa. Wapo waliopoteza kazi. Wapo waliokamatwa na kushtakiwa. Wapo waliopanda vyeo. Wapo walioshushwa vyeo. Wapo waliotakiwa kulipa kwa siku kadhaa. Wapo wasioonwa na kubaki wakinona.

Makontena yakaongezeka kupotea. Masteringi wakapania zaidi. Ikasemwa kuwa sasa idadi ni ya kutisha. Maelfu ya makontena yakasemwa yamepotea au hayakulipiwa kodi. Masteringi wakapania. Wakaungwa mkono. Wakaaminiwa.

Halafu,ukimya ukatawala. Kwa yale ya mwanzo na hata ya mwisho. Ni kama Masteringi kumalizia filamu vibaya. Ni kama filamu kuisha kwa maadui kushangilia ushindi na Masteringi kutoonekana tena. Filamu ilikuwa tamu na ya kutia hamu. Ilichezwa kiufundi bila kumwaga damu. Mwisho wake umeharibu. Tuendelee kuamini?

Christmas njema!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Sterling kauwawa picha limeisha
 
Naona unataka kufa au kufia jela kabla ya wakati Wako, hivi cyber crime law haikuhusu wewe?
Nani analea upuuzi huu, Ni rais aliyemaliza muda wake? Hosea? T. Somaia? Manji? Sir. Andy Chande? J. Patel? Ben? Ritz1?.

hahahaaaaa
 
Filamu ilianza vyema. Masteringi wawili walioneshwa wakipania kucheza filamu ya kusisimua. Wakaanza kwa ziara za kushtukiza zisizo na giza. Wakaibuka na hata orodha ya mambo ya forodha. Mkaratasi usio na wasiwasi ukiwa na idadi ya vyenye ukakasi ukaoneshwa.

Wapo waliosimamishwa. Wapo waliopoteza kazi. Wapo waliokamatwa na kushtakiwa. Wapo waliopanda vyeo. Wapo walioshushwa vyeo. Wapo waliotakiwa kulipa kwa siku kadhaa. Wapo wasioonwa na kubaki wakinona.

Makontena yakaongezeka kupotea. Masteringi wakapania zaidi. Ikasemwa kuwa sasa idadi ni ya kutisha. Maelfu ya makontena yakasemwa yamepotea au hayakulipiwa kodi. Masteringi wakapania. Wakaungwa mkono. Wakaaminiwa.

Halafu,ukimya ukatawala. Kwa yale ya mwanzo na hata ya mwisho. Ni kama Masteringi kumalizia filamu vibaya. Ni kama filamu kuisha kwa maadui kushangilia ushindi na Masteringi kutoonekana tena. Filamu ilikuwa tamu na ya kutia hamu. Ilichezwa kiufundi bila kumwaga damu. Mwisho wake umeharibu. Tuendelee kuamini?

Christmas njema!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Wewe unataka mpaka watu wapande juu ya nyumba kutangaza ndo ujue kazi inaendelea?Hebu na wewe nenda kasaidie kutorosha kontena hata moja tu halafu utapata majibu kama kazi imeisha au inaendelea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom