Upolisi isiwe kimbilio la waliokosa channel za maisha..ni wito.

Leornado

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
1,529
196
Kwa hapa TZ asilimia kubwa ya mapolisi ni wale either waliofeli shule au wanaingia upolisi baada ya channel zote za maisha kugoma. Utamsikia mzazi anamwambia mtoto wake, we cheza na shule utaishia kuwa upolisi au jeshi!!!! Kutokana na hili TZ ina mapolisi wasiojua majukumu yao ya kulinda raia na mali zao, badala yake wamekuwa watu wenye hasira na stress kiasi kwamba kuua raia ni moja ya njia ya kujipunguzia stress za ukali wa life.
Nchi nyingi upolisi ni kazi ambayo huipati hivi hivi au eti kwa vile ulifeli, wanazingatia sana vigezo ndo maana si rahisi kusikia upuuzi kama wa polisi wa tz. Serikali izingatie hili, vinginevyo polisi ifutwe coz haina maana na sio msaada tena bali kero.

Nawasilisha. Critiques zinaruhusiwa.
 
Nimewahi ku-post hapa kwamba kuna shida katika nchi hii kwa kuzifanya baadhi ya ajira kama upolisi, jeshi, magereza, ualimu, unesi na mengineyo yafananayo na haya! Kwamba zimefanywa kama last resort ya mtu aliyeshindwa kufanya vizuri katika masomo hasa darasa la saba, form 4, au 6, au kama kimbilio la yule ambaye ameshatafuta kazi na kukosa, basi inambidi aende kwenye moja ya hizi! Very sad!
 
Hii ni ukweli mtupu!
Kwenye nchi za wenzetu, mapolisi ni watu wenye uwezo wa juu wa ku-reason na ni very inteligent people (siyo intelijensia ya jamaa wetu Side Good)> Hakuna intelijinsia bila kuwa intelligent. Angalia mapolisi wetu, utakuta weengii wana Div 3 hadi zero za kuanzia point 25.
Ni polisi hawa hawa ambao wanalipwa kwa kodi zangu/zetu. Ninakatwa Tsh. 554,876.25/- kama PAYE ktk mshahara wangu kila mwezi ambayo inalipa mapolisi watatu. Leo hiii wanawapiga wazazi na wadodo zangu kule Arusha/Buguruni/UDOM.
Nami nitagoma kukatwa hii PAYE ili wasilipwe mishahara.
Mapolisi wawe vijana waliopata Div I au II,
Angalia polisi wa nchi za wenzetu. Huwa hawapigi waaandamanaji bali huwapa ulinzi.

Kwa hapa TZ asilimia kubwa ya mapolisi ni wale either waliofeli shule au wanaingia upolisi baada ya channel zote za maisha kugoma. Utamsikia mzazi anamwambia mtoto wake, we cheza na shule utaishia kuwa upolisi au jeshi!!!! Kutokana na hili TZ ina mapolisi wasiojua majukumu yao ya kulinda raia na mali zao, badala yake wamekuwa watu wenye hasira na stress kiasi kwamba kuua raia ni moja ya njia ya kujipunguzia stress za ukali wa life.
Nchi nyingi upolisi ni kazi ambayo huipati hivi hivi au eti kwa vile ulifeli, wanazingatia sana vigezo ndo maana si rahisi kusikia upuuzi kama wa polisi wa tz. Serikali izingatie hili, vinginevyo polisi ifutwe coz haina maana na sio msaada tena bali kero.

Nawasilisha. Critiques zinaruhusiwa.
 
Hii ni ukweli mtupu!
Kwenye nchi za wenzetu, mapolisi ni watu wenye uwezo wa juu wa ku-reason na ni very inteligent people (siyo intelijensia ya jamaa wetu Side Good)> Hakuna intelijinsia bila kuwa intelligent. Angalia mapolisi wetu, utakuta weengii wana Div 3 hadi zero za kuanzia point 25.
Ni polisi hawa hawa ambao wanalipwa kwa kodi zangu/zetu. Ninakatwa Tsh. 554,876.25/- kama PAYE ktk mshahara wangu kila mwezi ambayo inalipa mapolisi watatu. Leo hiii wanawapiga wazazi na wadodo zangu kule Arusha/Buguruni/UDOM.
Nami nitagoma kukatwa hii PAYE ili wasilipwe mishahara.
Mapolisi wawe vijana waliopata Div I au II,
Angalia polisi wa nchi za wenzetu. Huwa hawapigi waaandamanaji bali huwapa ulinzi.

Mkuu una heri wewe unaokatwa hio mijihela. Tuseme shahara lako mi kana 3m . hivi. Kama deductions to zinalipa hou vihio 3 huoni kama ili asavaivu itabidi akili kidogo ziwe kam zime jum??
 
Back
Top Bottom