Upo uwezekano waliofanya mauaji Mtwara awajapelekwa Mahakamani, mbona hakuna picha zao wakiwa Mahakamani? Mwenye ushahidi wa picha au kesi namba atupe

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Oct 29, 2018
539
3,507
Kesi ya mauaji hasa katika mazingira ya kile kilichotokea Mtwara tulitegemea vyombo vya habari viwe na picha za kufikishwa Mahakamani na kufunguliwa mashtaka wahusika lakini Hadi Leo tofauti na taarifa ya RPC hakuna uthibitisho mwingine wa independent part katika kesi hii. Je angekuwa raia wa kawaida kungekuwepo na usiri kama unaondelea?

Kama Yupo aliyeshuhudia atuwekee uthibitisho hapo ili tuweze kufuatilia kesi hiyo kujua nini kilitokea Hadi mauaji yakatokea.

Tusipoweka uwazi kisa iliwahusu askari hakutakuwa na umuhimu wakutoa taarifa za matukio ya kiraia yanayotokea maana itaonyesha hakuna usawa katika kukabiliana na uhalifu.
 
Askari fulani wakiwa team waliua mtu. Wakakamatwa, tukaambiwa wako ndani wanasubiri kwenda mahakamani.

Baada ya mwezi nilienda mkoa flani nikamkuta mmoja anatia story kituoni.
 
Kesi ya mauaji hasa katika mazingira ya kile kilichotokea Mtwara tulitegemea vyombo vya habari viwe na picha za kufikishwa Mahakamani na kufunguliwa mashtaka wahusika lakini Hadi Leo tofauti na taarifa ya RPC hakuna uthibitisho mwingine wa independent part katika kesi hii. Je angekuwa raia wa kawaida kungekuwepo na usiri kama unaondelea?

Kama Yupo aliyeshuhudia atuwekee uthibitisho hapo ili tuweze kufuatilia kesi hiyo kujua nini kilitokea Hadi mauaji yakatokea. Tusipoweka uwazi kisa iliwahusu askari hakutakuwa na umuhimu wakutoa taarifa za matukio ya kiraia yanayotokea maana itaonyesha hakuna usawa katika kukabiliana na uhalifu.
With the weak Hanghigher No body shall be held accountable. Kule kuna OCD na wakubwa wako ndani. Jambazi Sirro hataki wala kumsupport yule RPC wa Mtwara kwa Weledi!
 
Kesi ya mauaji hasa katika mazingira ya kile kilichotokea Mtwara tulitegemea vyombo vya habari viwe na picha za kufikishwa Mahakamani na kufunguliwa mashtaka wahusika lakini Hadi Leo tofauti na taarifa ya RPC hakuna uthibitisho mwingine wa independent part katika kesi hii. Je angekuwa raia wa kawaida kungekuwepo na usiri kama unaondelea?

Kama Yupo aliyeshuhudia atuwekee uthibitisho hapo ili tuweze kufuatilia kesi hiyo kujua nini kilitokea Hadi mauaji yakatokea. Tusipoweka uwazi kisa iliwahusu askari hakutakuwa na umuhimu wakutoa taarifa za matukio ya kiraia yanayotokea maana itaonyesha hakuna usawa katika kukabiliana na uhalifu.
... nadhani sheria inakataza polisi wanaotuhumiwa kwa makosa ya jinai kupigwa picha au habari zao kuripotiwa na media kesi zao zinapokuwa zinaendelea. Itoshe kuamini hivyo.
 
... nadhani sheria inakataza polisi wanaotuhumiwa kwa makosa ya jinai kupigwa picha au habari zao kuripotiwa na media kesi zao zinapokuwa zinaendelea. Itoshe kuamini hivyo.
acha kutudanganya , Zombe na wenzie walikuwa wapigwa picha kila siku
 
Someni gazeti la Mwananchi la leo.Wamefikishwa mahakamani na kesi imeahirishwa mpaka tarehe 8 Februari 2022.
Kupenda uzushi na conspiracy theories imekuwa tabia sugu.Bila ushahidi wa kutosha ingefaa aandike tetesi.
 
Someni gazeti la Mwananchi la leo.Wamefikishwa mahakamani na kesi imeahirishwa mpaka tarehe 8 Februari 2022.
Kupenda uzushi na conspiracy theories imekuwa tabia sugu.Bila ushahidi wa kutosha ingefaa aandike tetesi.
Weka picha ya gazeti la mwananchi Kama Kuna picha za watuhumiwa
 
Back
Top Bottom