Tuendelee tu kumshambulia SHY lakini hoja yake ni ya MSINGI sana. Naamini nia yake ni kuwafanya Wapinzani wazinduke, waache kuhangaikia umaarufu wa mtu mmoja-mmoja. Vyama vya upinzani vinabaki hoi huku wanachama wake kama Mh. Zitto ni maarufu kuliko CHADEMA; CHEYO ndiye UDP; MREMA ndiye TLP, n.k., kwa staili hii HAWATAIWEZA CCM.
Halafu, hivi kweli tuliomo humu JF hatuwezi kujitokeza kwa uwazi zaidi kuvisaidia vyama hivi?
Halafu, hivi kweli tuliomo humu JF hatuwezi kujitokeza kwa uwazi zaidi kuvisaidia vyama hivi?