Upinzani umeshinda katika hili pia!

Eliphaz the Temanite

JF-Expert Member
Jan 19, 2010
3,018
1,147
Kuna picha za akina mama wenye watoto hapa wanahudhuria mkutano wa campaign wa Dr Slaa. Picha hii imenifanya niadike thread hii. Kwa mda mrefu sana vyama vya upinzani vimekuwa vikipakwa matope kuwa ni vyama vya wenye fujo na vurugu akina mama wenye watoto kama hawa wasiwenza kuhudhuria campaign. Makubwa yamefanyika kuifuta dhana hii na taratibu wananchi wameanza kutuamini!

Nafahamu hii ni habari mbaya kwa CCM maana mlizoea kula vya gizani!


Ila mgombea wenu nae katia fora! Kuambia njoo kwenye mdahalo! Kaingia uvunguni! Wakamwambia basi uje huu madahalo wa STAR TV Slaa atakuwa mbali wewe Dar yeye mwanza, mpelekeni kinana!!!!

Hawezi kusimama na mtu aliye safi!!! Ataongea nini???
 
wameanza kutuamini!

Nafahamu hii ni habari mbaya kwa CCM maana mlizoea kula vya gizani!


Ila mgombea wenu nae katia fora! Kuambia njoo kwenye mdahalo! Kaingia uvunguni! Wakamwambia basi uje huu madahalo wa STAR TV Slaa atakuwa mbali wewe Dar yeye mwanza, mpelekeni kinana!!!!

Hawezi kusimama na mtu aliye safi!!! Ataongea nini???
Hii ndo gharama ya kuwa mchafu na mfisadi....Unaona aibu hata kwa kivuli chako,shame on him!
Ndio maana huyu jamaa anaona nafuu kukaa nje ya nchi na kusafirisafiri tu, maana huku nchini anaona soni..pheeeeeew!
 
Hii ndo gharama ya kuwa mchafu na mfisadi....Unaona aibu hata kwa kivuli chako,shame on him!
Ndio maana huyu jamaa anaona nafuu kukaa nje ya nchi na kusafirisafiri tu, maana huku nchini anaona soni..pheeeeeew!

PJ,
Kuna wakati huyu jamaa alipokuwa akija Arusha watu wanajipanga barabarani ili tu wamwone Kipenzi chao. Hata mie nilijikuta nimo! Tena Kaskazini kukawa na bahati kweli, maana hata waziri mkuu alitokea huko. Mara naye Nancy Sumari akawa mrembo! Ikawa furaha tupu huku kaskazini. Misafara ya Rais akienda Ngurdoto, Waziri Mkuu akienda Monduli na Longido , Nancy akiwapungia watu wake mkono mrembo wa furaha.....
Lakini wapi bwana, Panya ni panya tu, hata avae ngozi ya chui. Ghafla EL akatoa meno yake, JK akaonyesha sura yake halisi: tukabaki tumeduwaa....tunajiuliza, hivi huyu ndiye JK? Huyu tuliyekuwa tunamwabudu kama Mungu? huyu ambaye tulidhani aliporwa ushindi wake na Mkapa mwaka 1995? Tukaanza kuona aibu kwa kujitangaza wafuasi wake. Roho zikatusimama juu, maana kila kona akaweka mashushu , ukiropoka tu unalo!
Nikaanza kuamini ya Mwalimu, kumbe aliona mbali. Ile dhana ya kuwaita wahuni nikajua maana yake sasa.
Na akamalizia kwa usanii wa mwisho: Kwa kuwainua mikono wale aliowashambulia kwamba ndiyo wameyumbisha serikali kwa ubadhirifu....alipoanza kwa EL, tukajua kumekucha: Akafuata kwa Chenge, Mramba , RA.
Halafu akawageukia makamanda wa ufisadi: Mbunda wa Arusha ( Mkurugenzi) amefutwa kazi.
Mkurugenzi wa Hai, amefutwa kazi.....
Kamanda wa TAKUKURU Kilimanjaro amefutwa kazi...
Sijui ni wangapi tutabambikiziwa kesi za ujambazi, kufutwa kazi nk baadaye kama JK atashinda....
Ni kilio na kusaga meno.....
 
Kuna picha za akina mama wenye watoto hapa wanahudhuria mkutano wa campaign wa Dr Slaa. Picha hii imenifanya niadike thread hii. Kwa mda mrefu sana vyama vya upinzani vimekuwa vikipakwa matope kuwa ni vyama vya wenye fujo na vurugu akina mama wenye watoto kama hawa wasiwenza kuhudhuria campaign. Makubwa yamefanyika kuifuta dhana hii na taratibu wananchi wameanza kutuamini!

Nafahamu hii ni habari mbaya kwa CCM maana mlizoea kula vya gizani!


Ila mgombea wenu nae katia fora! Kuambia njoo kwenye mdahalo! Kaingia uvunguni! Wakamwambia basi uje huu madahalo wa STAR TV Slaa atakuwa mbali wewe Dar yeye mwanza, mpelekeni kinana!!!!

Hawezi kusimama na mtu aliye safi!!! Ataongea nini???

Kinyume chake, Kina mama wenye watoto hawewezi kuhudhilia mikutano ya CCM, kwa sababu wanabebwa kwenye malori. Pemba wasababisha vifo, Karatu wamepeleka watu toka Arusha mjini kwa malori. Wanambiwa habari ya bodi ya maji wamenyamza, hawajui bodi ya maji.
 
Kuna picha za akina mama wenye watoto hapa wanahudhuria mkutano wa campaign wa Dr Slaa. Picha hii imenifanya niadike thread hii. Kwa mda mrefu sana vyama vya upinzani vimekuwa vikipakwa matope kuwa ni vyama vya wenye fujo na vurugu akina mama wenye watoto kama hawa wasiwenza kuhudhuria campaign. Makubwa yamefanyika kuifuta dhana hii na taratibu wananchi wameanza kutuamini!

Nafahamu hii ni habari mbaya kwa CCM maana mlizoea kula vya gizani!


Ila mgombea wenu nae katia fora! Kuambia njoo kwenye mdahalo! Kaingia uvunguni! Wakamwambia basi uje huu madahalo wa STAR TV Slaa atakuwa mbali wewe Dar yeye mwanza, mpelekeni kinana!!!!

Hawezi kusimama na mtu aliye safi!!! Ataongea nini???

Inawezekana hayo ni maelekezo ya kitaalamu ya Shehe Yahya Hussein kuwa muungwana asishiriki mdahalo wowote.
 
Siwezi kusema ni wapinzani wameshinda hakuwa na ubavu huo. Hivi sasa si CCM v.s CHADEMA no ni CCM v.s WANANCHI upo hapo. Kwa bahati Chadema wamekuwa upande wa wananchi.
 
Back
Top Bottom