Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,147
Kuna picha za akina mama wenye watoto hapa wanahudhuria mkutano wa campaign wa Dr Slaa. Picha hii imenifanya niadike thread hii. Kwa mda mrefu sana vyama vya upinzani vimekuwa vikipakwa matope kuwa ni vyama vya wenye fujo na vurugu akina mama wenye watoto kama hawa wasiwenza kuhudhuria campaign. Makubwa yamefanyika kuifuta dhana hii na taratibu wananchi wameanza kutuamini!
Nafahamu hii ni habari mbaya kwa CCM maana mlizoea kula vya gizani!
Ila mgombea wenu nae katia fora! Kuambia njoo kwenye mdahalo! Kaingia uvunguni! Wakamwambia basi uje huu madahalo wa STAR TV Slaa atakuwa mbali wewe Dar yeye mwanza, mpelekeni kinana!!!!
Hawezi kusimama na mtu aliye safi!!! Ataongea nini???
Nafahamu hii ni habari mbaya kwa CCM maana mlizoea kula vya gizani!
Ila mgombea wenu nae katia fora! Kuambia njoo kwenye mdahalo! Kaingia uvunguni! Wakamwambia basi uje huu madahalo wa STAR TV Slaa atakuwa mbali wewe Dar yeye mwanza, mpelekeni kinana!!!!
Hawezi kusimama na mtu aliye safi!!! Ataongea nini???