Mulama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,018
- 1,791
Katika nyakati hizi tulizo nazo kuna jambo linanitatiza, ninavyofahamu mimi wakati wa kuanza mahusiano, wahusika huwa wanaongea mengi including I love you so much, silali nakuota usiku kucha, nikinywa maji nakuona kwenye grass nk nk.
Baada ya hizo brah brah kwisha watu sasa wamekwisha ingia kwenye mahusiano siku za mwanzo pengine hata wale sharp shooters wamekwisha do mara moja au mbili hivi, kinachofuatia ni kuambizana dos and donts za kila mmoja ili mapenzi/ mahusiano yao yaweze ku sustain.
Lakini baada ya muda kunaibuka wimbi la upinzani ndani ya mahusiano na mainly kinachopingwa ni yale waliyokubaliana awari, kiasi kwamba kila mmoja anakuwa msemaji ili ku emphasize yakwake ndiyo yafuatwe na si vinginevyo!
Wadau hali hii inaletwa na nini?
Baada ya hizo brah brah kwisha watu sasa wamekwisha ingia kwenye mahusiano siku za mwanzo pengine hata wale sharp shooters wamekwisha do mara moja au mbili hivi, kinachofuatia ni kuambizana dos and donts za kila mmoja ili mapenzi/ mahusiano yao yaweze ku sustain.
Lakini baada ya muda kunaibuka wimbi la upinzani ndani ya mahusiano na mainly kinachopingwa ni yale waliyokubaliana awari, kiasi kwamba kila mmoja anakuwa msemaji ili ku emphasize yakwake ndiyo yafuatwe na si vinginevyo!
Wadau hali hii inaletwa na nini?