rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Kitendo kilichofanywa na serikali kuwahonga wabunge ni kibaya na kamwe hatuwezi kuwavumilia tena,
viongozi wa upinzani naomba mjipange sisi wananchi tupo tayari kuwaondoa hawa watu kwenye bishara ya kuendesha nchi yetu
Kwa kweli tumefika mahali ambapo kama hatuwezi kuvumilia na madharau ya hii serikali
Naomba iteni maandamano nchi nzima kupinga huu uonevu tuwaonyeshe tuna nguvu!!
viongozi wa upinzani naomba mjipange sisi wananchi tupo tayari kuwaondoa hawa watu kwenye bishara ya kuendesha nchi yetu
Kwa kweli tumefika mahali ambapo kama hatuwezi kuvumilia na madharau ya hii serikali
Naomba iteni maandamano nchi nzima kupinga huu uonevu tuwaonyeshe tuna nguvu!!