Utaratibu wa upigaji kura wa mjengoni haufai maana mwisho wa siku spika anaangalia wapi apendelee, huwezi uliza wanao sema ndio waseme ndio na sio waseme sio halafu unasema fulani wameshinda, ili hali sauti za walio sema sio ziko nyingi.
Hivi zile makrofoni zote zinaweza kuwa detected kule kwenye kiti cha spika sasa kwanini kusiongezwe kutufe cha kupigia kura ambacho mtu anabonyesa zen kuna kuwa na ubao unasoma linakuwa limekwisha, mie nakerwa jamani nyie yaani basi tu.
Hivi zile makrofoni zote zinaweza kuwa detected kule kwenye kiti cha spika sasa kwanini kusiongezwe kutufe cha kupigia kura ambacho mtu anabonyesa zen kuna kuwa na ubao unasoma linakuwa limekwisha, mie nakerwa jamani nyie yaani basi tu.