Upepo ni natural lakini unatoka wapi au unatokanana na nini?

Hili swali halina utofauti na lile "binadamu alitokana na nini" sawa ngoje tuone.
Sawa linaweza kufanana, lakini usishangae kuna watu nawafahamu chanzo na watakuja kutusaidia. Hii JF usilolijua hata kwa udogo wake lina jibu humu, name huwa nauliza tu, wapo wanaokebehi nawapo wenye kufahamu na likiwafikia watajibu tu.
 
Hivi UPEPO ndio HEWA?! Ni vitu vidogo lakini sielewi, sitachukia kuitwa mjinga, wanaielewa mnieleweshe.
hewa (air) ni mchanganyiko wa gesi mbalimbali, gesi hizo ni nitrogen, oxygen, carbon dioxide na gesi zingine. kwa hiyo upepo ni kujongea kwa huo mchanganyiko(hewa)
 
Upepo ni mwendo wa hewa. Husababishwa na joto la jua. Hewa ikipashwa joto na jua hupanuka huwa nyepesi na kupanda juu. Hivyo inaacha nafasi ambako hewa baridi zaidi inaingia kuchukua nafasi yake.

Kwa lugha ya metorolojia kuna mwendo kutoka eneo la shindikizo juu la hewa kwa eneo lenye shinikizo duni la hewa.

Kuna aina nyingi za upepo. Upepo mkali huitwa dhoruba. Ikizunguka ndani yake ni tufani, na tufani ikianza baharini ni kimbunga.
Asante mkuu geografia umeifanyia kazi
 
hewa (air) ni mchanganyiko wa gesi mbalimbali, gesi hizo ni nitrogen, oxygen, carbon dioxide na gesi zingine. kwa hiyo upepo ni kujongea kwa huo mchanganyiko(hewa)
Asante sana mkuu
 
Hyo hewa imetoka wapi?? Origin yake
Sawa, hivi wind ndio air?!
Duh hili ni somo la Chemisry kuanzia form O level hadi A level Rais wetu alikuwa akilifundisha
aina za hewa zipo
Oxygen O2​
Hydrogen H​
Carbon N​
yaani zipo hadi km 103​
sasa km Wind tu nimekuelewesha na mchoro
hili si somo la dk 15 ni miaka 15 msingi hadi kidato
kwani swali lipo liujumla zaidi
najua ni natural lakini sijui origin yake, ni kwasababu dunia inazunguka hivyo tuna upepo au unatoka wapi?
 
Back
Top Bottom