CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Wakuu mimi nina swali,nimekua nikisikia na kufatilia kesi za watu fulani fulani hapa tz,na ktk mala zote huwa kuna kausemi kwamba upelelezi haujakamilika so inapigwa tarehe nyingine,ukipangiwa tar nyingine unaambiwa tena upelelezi haujakamilika.
Sasa kama ushahidi hujakamilika why upelekwe mahakamani?kwanini usikae"lupango"hata kama ni mwaka mzima ili ushahidi/upelelezi ukamilike kwanza?
Wanasheria msaada tafadhari:
Sasa kama ushahidi hujakamilika why upelekwe mahakamani?kwanini usikae"lupango"hata kama ni mwaka mzima ili ushahidi/upelelezi ukamilike kwanza?
Wanasheria msaada tafadhari: