Updates - Pres. Obama in Tanzania July 01-02, 2013

Naona anatafuta attention ya media baada ya kupotezewa kwa muda.

Kama ni attention ya media basi anayo kubwa sana. Kila uchao ukipitia kwenye social media habari ya "mujini" ni Dr. Slaa. Nenda JF, nenda Facebook(hasa kule tanuru la mafisadi), nenda Twitter, kote huko Dr. Slaa ndiye gumzo la nchi.

Fanya kautafiti kadogo tu hata hapa JF uone ni mwanasiasa yupi aliyeanzishiwa threads nyingi zaidi kuliko wengine. Tena threads nyingi zinaanzishwa na maccm ambao mkimsikia tu Dr. Slaa mnachanganyikiwa.
 
Kwa sababu ya kupuuza upinzani na kung'ang'ania kutekeleza agenda za kidini za chama chake cha muslim brotherhood. Tukubali; vyama vya kidini haviwezi demakrasia kwa sababu badala ya kua na ajenda ya kutatua matatizo ya watu hapa duniani vinafikiria kutii vitabu vitakatifu ili kuwapeleka watu ahera. Hiyo sio kazi ya serikali.

Maneno yako ya kweli ndio maana nasema kamwe chadema haitakuja kuongoza hii nchi kwani Chadema ni chama cha kikristo,
 
Wachoraji hufundishwa kwamba wanapotaka kumchora kiumbe (hasa binaadam) ana nyuso mbili wazisome/wazifahamu ndipo wataweza kuitia uhai picha ile wanayoichora .Jee ? watanzania which side of OBAMA did we see . May be it is a hunch but I pottrey the other side of him
Once USA Foreign sect. say that their gvt is not a church it is not giving charity aliendelea tunapotoa nikwakulinda maslahi yetu . Wabongo mumeona hiyooo
 
Nimeikuta hii kwenye magazeti ya nje. Nadhani watanzania wenzangu tuna la kujifunza sana kuhusu hii statement ya Obama: Kuna version mbili ila zote ni maana moja: Soma hii:

Obama "Democracy not just about elections, but how you treat opposition"

“Democracy is not just about elections. It's also about: how are you working with an opposition; how do you treat dissenting voices; how do you treat minority groups," Obama said on Monday.
Wana JF … Nawasilisha….
 
Nimeikuta hii kwenye magazeti ya nje. Nadhani watanzania wenzangu tuna la kujifunza sana kuhusu hii statement ya Obama: Kuna version mbili ila zote ni maana moja: Soma hii:

Obama "Democracy not just about elections, but how you treat opposition"

"Democracy is not just about elections. It's also about: how are you working with an opposition; how do you treat dissenting voices; how do you treat minority groups," Obama said on Monday.
Wana JF … Nawasilisha….

naona kama obama anafahamu kila kitu kinachoendelea nchi hii kuhusu wapinzani na serikali ya ccm!
 
Angalia picha hizo hapo chini zinajieleza vizuri kabisa, sasa nauliza swali, hivi tumelaaniwa?
Gari analotembelea Obama lilifahamika kabla hata hajatua Bongo, lakini sisi tukajidai tuna hela sana na kusafisha mpaka barabara kwa sabuni, gari yenyewe ni full Aircondition. Jamani hivi hawa viongozi hawaoni matitizo ya wananchi? Au kwasababu wao wake zao wanajifungulia Aghakhan Hospital? Bajeti ya kuendesha nchi lazima tuwapigie magoti hao hao watuwezeshe lakini wakati huo tunajidai tuna hela za kuosha barabara. Halafu nashangaa anayejiita Chris Lukosi analeta thread ya kuiponda CDM eti haina sera, sasa hizi ndio sera za chama tawala halafu sisi wenye akili tuzifagilie??!!!








uynbn.jpg

Temeke+Hostital
 
Sasa unatakaje?

Maana kama ni CDM tunaoipenda ni wengi.
kwahiyo ulitaka tupinge ujio wa Obama?
au maandalizi yoyote yasifanyike kisa wagonjwa wanalala chini?
Tumeshashindwa kutumia rasilimali zetu acha wajanja waje kujichukulia maana asiyejua maana haambiwi maana.
 
sema umelaaniwa wala usituhusishe na wengine ambao hawajalaaniwa we baki na huo uchochezi wako.
 
sema umelaaniwa wala usituhusishe na wengine ambao hawajalaaniwa we baki na huo uchochezi wako.

Sikushangai kwasababu wewe ndio wale mliopewa tender za kupamba, kusafisha brbrb, n.k. kamwe huwezi kuona umuhimu wa kubana matumizi.
 
Angalia picha hizo hapo chini zinajieleza vizuri kabisa, sasa nauliza swali, hivi tumelaaniwa?
Gari analotembelea Obama lilifahamika kabla hata hajatua Bongo, lakini sisi tukajidai tuna hela sana na kusafisha mpaka barabara kwa sabuni, gari yenyewe ni full Aircondition. Jamani hivi hawa viongozi hawaoni matitizo ya wananchi? Au kwasababu wao wake zao wanajifungulia Aghakhan Hospital? Bajeti ya kuendesha nchi lazima tuwapigie magoti hao hao watuwezeshe lakini wakati huo tunajidai tuna hela za kuosha barabara. Halafu nashangaa anayejiita Chris Lukosi analeta thread ya kuiponda CDM eti haina sera, sasa hizi ndio sera za chama tawala halafu sisi wenye akili tuzifagilie??!!!








uynbn.jpg

Temeke+Hostital

Ulikuwa wapi wakati Rais wa UCHINA alipokuja? Hakunyenyekewa? na kusaini MIKATABA KIBAO YA SIRI hata wewe HAUIJUI???

Lakini unakimbilia vya OBAMA; Umetumwa???
 
umbumbumbu wa CCM wanafikiri Obama hajui kinachoendelea ndani ya Tanzania, kwa taarifa yetu Obama anajua kila chembe - hata aliyemuua mwandishi Mwangosi anajua kuwa ni serikali yenu. na ndiyo maana akatoa statement ile, shame on you. badilikeni mnaongoza chama kizamani (analogue nyie)

cc Ritz

Wewe kinanga umegeuka msemaji wa Obama? mnataka kulazimisha mambo hivi kwa akili yako OB kama angetaka kuisema serikali ya JMT kwa kuvunja haki za binadamu kungekuwa na wa kumzuia? Mlitaka kuleta uzushi wa kurusha mabomu ili kuichafua ziara hilo hamkufanikiwa matokeo yake ni kujiliza kama mliobanwa na haja kubwa; CCM game yake kubwa hamuiwezi!!
 
Kama ni attention ya media basi anayo kubwa sana. Kila uchao ukipitia kwenye social media habari ya "mujini" ni Dr. Slaa. Nenda JF, nenda Facebook(hasa kule tanuru la mafisadi), nenda Twitter, kote huko Dr. Slaa ndiye gumzo la nchi.

Fanya kautafiti kadogo tu hata hapa JF uone ni mwanasiasa yupi aliyeanzishiwa threads nyingi zaidi kuliko wengine. Tena threads nyingi zinaanzishwa na maccm ambao mkimsikia tu Dr. Slaa mnachanganyikiwa.
Mwita Maranya
Hii attention ya kupewa na mapimbi nayo ni kujisifia? Huko FB mmejazana wehu nyienyie mliomo humu JF sasa mna jipya gani?
 
Last edited by a moderator:

By NICHOLAS KULISH

Published: July 2, 2013

DAR ES SALAAM, Tanzania - The curving stretch of road along the Indian Ocean behind the State House was once simply called Ocean Road. Now, a black-and-white-striped post holds a sign bearing its new name: Barack Obama Drive.



A Warm Welcome for Obama in Tanzania; The cheering throngs welcoming him to Tanzania were much larger and louder than those he saw on the first two stops of his trip



After Mr. Obama headed back to the United States on Tuesday - ending a trip to sub-Saharan Africa that also took him to Senegal and South Africa - the American flag still waved alongside the green, yellow, black and blue of the Tanzanian flag, under the ubiquitous signs with Mr. Obama's face and the Swahili word for welcome, "karibu."

Mr. Obama retains the kind of celebrity status here in East Africa that he once enjoyed in Europe and other parts of the world, making his visit a public event as much as an act of diplomacy. The cheering throngs welcoming him to Tanzania were much larger and louder than those he saw on the first two stops of his trip.


"Obama is like the president of the world," said Nuhu Sandari Mohamed, 60, who was out for a stroll along the street named after the president. "The fact that he's connected to Africa, my children and their children and their children should know."


Couples strolled and sat by the water on Barack Obama Drive on Tuesday, as ice cream salesmen pedaled their three-wheel cycles with coolers loaded with treats. For Said Maumba, 28, Mr. Obama's visit was the best day he had ever had selling frozen treats, like Kreemas for about 31 cents, to the throngs waiting to watch Mr. Obama's motorcade pass.


"He's hugely famous, and a lot of people are obsessed and just want to see a glimpse of him," Mr. Maumba said.


Mustafah Lada, 21, who was selling a knockoff iPhone along Barack Obama Drive, was a bit more skeptical. Unlike for ice cream sales, Mr. Lada said the distraction of Mr. Obama's visit made it harder to sell cellular phones. More broadly, he questioned whether it was ordinary people or the elites who gained the most from American engagement.


"I believe it's good that he came here, but the benefits?" Mr. Lada said. "I think it's those people in power who are benefiting, and we people without regular employment are losing."


Electricity remained a paramount concern of people here, for whom it is both a quality of life and a development issue. Before leaving on Tuesday, Mr. Obama toured a once-idle power plant that was brought back to life through a partnership between American business and the Tanzanian government. Mr. Obama's administration has agreed to spend $7 billion - and has recruited from businesses an additional $9 billion - in an effort to double access to electricity in Africa.


Evarest Makwaya, 31, a gardener, said he was grateful that Mr. Obama had promised to help bring electricity to Tanzania. "I'm touched by the fact that he launched the power plant," Mr. Makwaya said. "That's one of the issues affecting ordinary Tanzanians."


He said that although there was power where he lived in Dar es Salaam, the village where he came from did not have electricity. "I cannot say I'm happy, because my siblings and my parents live in darkness," he said.


While Mr. Obama has frequently been criticized for prioritizing other parts of the world over Africa - and for barely visiting sub-Saharan Africa as president before the trip that ended Tuesday - others said such complaints were misguided.


"We don't expect much material gain," said Margaret Sigale, who had just been at a hospital with her mother. "In my opinion, President Obama has no obligation to return to Africa simply because he is in a way connected," she added, referring to his Kenyan father. "We should not make him feel he has to give anything, or has any obligation."


"For the continent of Africa," continued Ms. Sigale, 29, a homemaker with two daughters, 13 and 3, "President Obama will go down in history as the first black man in the White House." Her older daughter was "very well aware" of Mr. Obama's visit, and "was glued on TV watching."


"Even the younger one, whenever she sees a plane, any plane, she sings: ‘That's Obama. That's Obama. That's Obama.'"

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom