Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,424
Habari yenu wandugu.
Hivi ni wangapi kati yenu baada ya muda kupita tangu kuanza mahusiano/kuingia kwenye ndoa zenu mmewahi kukaa chini ma wenzi wenu na kuwauliza mahusiano yenu yanaendelea vipi/yanaelekea/wanataka yaelekee wapi?!Mnaulizana kama kila mmoja anayafurahia na ameridhika na yanavyoendelea?!Unaongea na mwenzio kujua kama nae anafurahia kama unavyofurahia wewe?!Kama bado mpo kwenye ukurasa mmoja kama ilivyokua awali?!
Au ndio mkishakubaliana/oana basi kunakua hamna umuhimu wa kupeana UPDATE kwenye swala zima la hisia zenu?!Usidanganyike na I love you too....na mengineyo yanayorudisha majibu ya .....na mimi pia. Haya ni majibu ambayo hayahitaji hisia ziwepo kuyapata. Mtu anaweza akaonyesha furaha japo hanayo...mapenzi yamepungua kibaba wewe hujui wakati ungejua ungefanya juhudi za kuyarudisha.Mwenzako mawazo ya upenzi tu yameshamtoka yanatamani/taka ndoa wewe ndo kwanza unaonyesha msisitizo ni kiasi gani huna hamu nayo....mwenzako kashakuchoka na uchumba anatamani kuuvua ila wewe ndo kwanza kila siku waongelea mbwembwe za harusi anashindwa kukwambia.Msisubirie kushushuana kanisani kwa jibu la HAPANA SIKUBALI...ndoani mwenzio HATA HAJUI HISIA ZAKE ZIKO WAPI au kuagwa na mpenzi maana alichotaka mwanzo sicho anachotaka sasa hivi na wewe bado hujabadilika.Meaning mwendo wenu hauwiani....kila mmoja anatembea kwa speed yake mpaka mmepotezana au mmoja kabaki nyuma sana.
Kumbukeni kwamba mawasiliano ni muhimu kwenye mahusiano....na mawasiliano yenyewe ndo haya.
Siku njema!
Hivi ni wangapi kati yenu baada ya muda kupita tangu kuanza mahusiano/kuingia kwenye ndoa zenu mmewahi kukaa chini ma wenzi wenu na kuwauliza mahusiano yenu yanaendelea vipi/yanaelekea/wanataka yaelekee wapi?!Mnaulizana kama kila mmoja anayafurahia na ameridhika na yanavyoendelea?!Unaongea na mwenzio kujua kama nae anafurahia kama unavyofurahia wewe?!Kama bado mpo kwenye ukurasa mmoja kama ilivyokua awali?!
Au ndio mkishakubaliana/oana basi kunakua hamna umuhimu wa kupeana UPDATE kwenye swala zima la hisia zenu?!Usidanganyike na I love you too....na mengineyo yanayorudisha majibu ya .....na mimi pia. Haya ni majibu ambayo hayahitaji hisia ziwepo kuyapata. Mtu anaweza akaonyesha furaha japo hanayo...mapenzi yamepungua kibaba wewe hujui wakati ungejua ungefanya juhudi za kuyarudisha.Mwenzako mawazo ya upenzi tu yameshamtoka yanatamani/taka ndoa wewe ndo kwanza unaonyesha msisitizo ni kiasi gani huna hamu nayo....mwenzako kashakuchoka na uchumba anatamani kuuvua ila wewe ndo kwanza kila siku waongelea mbwembwe za harusi anashindwa kukwambia.Msisubirie kushushuana kanisani kwa jibu la HAPANA SIKUBALI...ndoani mwenzio HATA HAJUI HISIA ZAKE ZIKO WAPI au kuagwa na mpenzi maana alichotaka mwanzo sicho anachotaka sasa hivi na wewe bado hujabadilika.Meaning mwendo wenu hauwiani....kila mmoja anatembea kwa speed yake mpaka mmepotezana au mmoja kabaki nyuma sana.
Kumbukeni kwamba mawasiliano ni muhimu kwenye mahusiano....na mawasiliano yenyewe ndo haya.
Siku njema!