Mtaweweseka sana kwa JK. Wapo waliodiriki kusema kuwa yeye ni dhaifu na sasa wanathibitishiwa kuwa si dhaifu. Alikuwa anawalea tu lakini wao hawana fadhila1. Gaidi ni JK na kundi lake, rejea kesi ya Mtikila aliyoshinda mahakamani.
2. Mchochezi ni JK na CCM kwa kuachia na kuulea udini ushamiri nchini.
3. Mgombanishi ni JK na CCM, wanawachonganisha watanzania kwa dini zao na makabila yao.
Kila mtu ni kiumbe wa Mungu na mbora mbele ya mweyezimungu ni mchaji. Tuambie lema yupo kwenye kundi la wachaji Mungu?Ile hadithi ya Goliati kudhalilishwa na kuuliwa na ka-Daudi inaelekea kutimia, chezea mtu mwenye mungu wewe?!
MAMBO yamezidi kumwendea kombo Mbunge wa Arusha Mjini, (Chadema) Godbless Lema baada ya Jeshi la Polisi kutangaza rasmi kwamba itamfikisha Mahakamani, siku ya Juma tatu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Liberatus Sabas amema kwamba Mbunge huyo hawezi kuachilia huru kwa sababu mashtaka dhidi yake yameshakamilika na atafikishwa Mahakamani siku ya Juma tatau.
"Hatuwezi kumwachia kwa sababu anatarajia kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili"alisema Sabas.
Wakati Kamanda huyo akitoa msimamo huo, taarifa za ndani ya Jeshi hilo zinaeleza kwamba Mbunge huyo amehojiwa kwa zaidi ya saa nane sasa na bado yuko katika chumba maalum kwa mahojiano zaidi na maofsa wa Polisi huku akitakiwa kuonyesha ujumbe mfupi wa vitisho aliyodaiwa kuwa ametumiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Magesa Mulongo.
Katika hatua nyingine Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa wa Arusha, kimekuwa na kikao kirefu kinachoongozwa na Mkuu wa Mkoa Mulongo na kwamba ajenda kubwa inayojadiliwa ni tukio zima la vurugu zilizotokea katika Chuo cha Uhasibu mkoani humo. Lema alikamatwa usiku wa kuamkia leo baada ya Askari wa Jeshi la Polisi kumfuata nyumbani kwake na kuzingira nyumba yake kabla ya zoezi la kumchomoa ndani ya nyumba hiyo kufanyika.
Mbune huyo anatuhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo kosa la kuchochea vurugu katika chuo hicho baada ya kutokea mauaji ya Mwanafunzi Henry Koga aliye uawa kwa kuchomwa kisu juzi akirejea chuoni hapo kutoka kwenye matembezi yake, hata hivyo haijajulikana mara moja sababu za kuawa kwa mwanafunzi huyo wala watuhumiwa hawajakamatwa.
My Out Look:
Nazidi kuyasadiki Maneno ya Rafiki yangu SSP Chuwa kuwa Tatizo sio Mulongo.
Yeye ana execute to Matakwa ya Mkulu Dhidi ya Lema.
Ile Issue ya Lema kumpa Live Mkulu kuwa analea Udini imemchoma sana Mkulu.
Wao wana Mamlaka na Fedha, Lema ana Mungu
Wewe unazijua nchi za SCANDINAVIA? Kwanini wameweza kiasi kile?Usimdanganye wewe. Hakuna mafanikio yanayokuja kupitia vyama vya siasa. Wote ni waganja njaa tu
Hebu tuambie, kwenye hizi Video hapa Chini, nani amekosa Busara kati ya RC na Lema???
Hapa Lema akiwatuliza Wanachuo
‪Mhe Lema akiwatuliza wanachuo Arusha‬‏ - YouTube
Na Hapa RC akionesha Dharau ya Hali ya Juu kwa Wafiwa (Wanachuo)
‪Mkuu wa Mkoa wa Arusha akizungumza na wanachuo‬‏ - YouTube
Kama kichwa chako kinafanya Kazi Sawa Sawa utaona ni Jinsi gani RC alileta Kiburi Msibani
Mungu hapimwi hivyo Mkuu, Majaribu ya Shetani kwa Mtu wa Mungu ni Kawaida sana, hata Mungu Mwenyewe alimpa Kibali Shetani Kumjaribu Mtumishi wake Ayubu, Lakini itategemea kama utasimama kwenye imani yako, Mfano Ayubu alivyo simama na Lema anavyoendelea Kusimama, ama Lah, unyooshe Mikono na Kumsujudia Shetani (Kitu Ambacho Lema na Ayubu wamekikataa)
Mtaweweseka sana kwa JK. Wapo waliodiriki kusema kuwa yeye ni dhaifu na sasa wanathibitishiwa kuwa si dhaifu. Alikuwa anawalea tu lakini wao hawana fadhila
wewe ni kati ya wapuuzi waliotukuka...kila siku nasema,duniani kuna watu wanawaza kwa makalio badala ya ubongo
Mkuu wahenga walisema kipenda roho hula nyama mbichi,kwako wewe Lema ni malaika.
Kama waona Lema ana ubavu wa kupimana na Mkuu wa Mkoa basi sisi tutabaki kuwa watazamaji.
Picha inaendelea, Lema yuko lupango na Mkuu anapeta.
Haihitaji akili nyingi kuelewa nani anaumia.
MAMBO yamezidi kumwendea kombo Mbunge wa Arusha Mjini, (Chadema) Godbless Lema baada ya Jeshi la Polisi kutangaza rasmi kwamba itamfikisha Mahakamani, siku ya Juma tatu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Liberatus Sabas amema kwamba Mbunge huyo hawezi kuachilia huru kwa sababu mashtaka dhidi yake yameshakamilika na atafikishwa Mahakamani siku ya Juma tatau.
"Hatuwezi kumwachia kwa sababu anatarajia kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili"alisema Sabas.
Wakati Kamanda huyo akitoa msimamo huo, taarifa za ndani ya Jeshi hilo zinaeleza kwamba Mbunge huyo amehojiwa kwa zaidi ya saa nane sasa na bado yuko katika chumba maalum kwa mahojiano zaidi na maofsa wa Polisi huku akitakiwa kuonyesha ujumbe mfupi wa vitisho aliyodaiwa kuwa ametumiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Magesa Mulongo.
Katika hatua nyingine Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa wa Arusha, kimekuwa na kikao kirefu kinachoongozwa na Mkuu wa Mkoa Mulongo na kwamba ajenda kubwa inayojadiliwa ni tukio zima la vurugu zilizotokea katika Chuo cha Uhasibu mkoani humo. Lema alikamatwa usiku wa kuamkia leo baada ya Askari wa Jeshi la Polisi kumfuata nyumbani kwake na kuzingira nyumba yake kabla ya zoezi la kumchomoa ndani ya nyumba hiyo kufanyika.
Mbune huyo anatuhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo kosa la kuchochea vurugu katika chuo hicho baada ya kutokea mauaji ya Mwanafunzi Henry Koga aliye uawa kwa kuchomwa kisu juzi akirejea chuoni hapo kutoka kwenye matembezi yake, hata hivyo haijajulikana mara moja sababu za kuawa kwa mwanafunzi huyo wala watuhumiwa hawajakamatwa.
My Out Look:
Nazidi kuyasadiki Maneno ya Rafiki yangu SSP Chuwa kuwa Tatizo sio Mulongo.
Yeye ana execute to Matakwa ya Mkulu Dhidi ya Lema.
Ile Issue ya Lema kumpa Live Mkulu kuwa analea Udini imemchoma sana Mkulu.
Rafiki Yangu SSP Chuwa Akaongeza, "CCM ni Wepesi Mno na Weupe Suala linapofika Mahakani"
Wao wana Mamlaka na Fedha, Lema ana Mungu
Wewe na mimi katika hili ni watazamaji tu na washangiliaji.Anapeta nn na maaibu na jaziba kibao?
Hivi kwanini watanzania tusifuate mfano wa wananchi wa Misri,Tunisia na Libya?
Kuna haja gani ya kuendelea kuwavumilia hawa watawala wanaofanana na madikteta?
Hakuna shujaa na mtetea wanyonge aliyewahi kuona rupango kama mahali pa kuumiza. Wanaohisi maumivu ya huko ni wale waliofanyia madhambi jamii na wanajua hali ya hewa ikibadilika patakuwa ndo makazi for the rest of their life. Wanajitahidi kuzuia huo muda usifike, but for sure uko njia unakaribia kufika.Mkuu wahenga walisema kipenda roho hula nyama mbichi,kwako wewe Lema ni malaika.
Kama waona Lema ana ubavu wa kupimana na Mkuu wa Mkoa basi sisi tutabaki kuwa watazamaji.
Picha inaendelea, Lema yuko lupango na Mkuu anapeta.
Haihitaji akili nyingi kuelewa nani anaumia.
Badala ya mimi kutafuta hela niisaidie familia yangu eti nikaandamane . Huu ni upuuzii uliotukuka . Wajinga ndio wafuate mawazo yako .
MAMBO yamezidi kumwendea kombo Mbunge wa Arusha Mjini, (Chadema) Godbless Lema baada ya Jeshi la Polisi kutangaza rasmi kwamba itamfikisha Mahakamani, siku ya Juma tatu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Liberatus Sabas amema kwamba Mbunge huyo hawezi kuachilia huru kwa sababu mashtaka dhidi yake yameshakamilika na atafikishwa Mahakamani siku ya Juma tatau.
"Hatuwezi kumwachia kwa sababu anatarajia kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili"alisema Sabas.
Wakati Kamanda huyo akitoa msimamo huo, taarifa za ndani ya Jeshi hilo zinaeleza kwamba Mbunge huyo amehojiwa kwa zaidi ya saa nane sasa na bado yuko katika chumba maalum kwa mahojiano zaidi na maofsa wa Polisi huku akitakiwa kuonyesha ujumbe mfupi wa vitisho aliyodaiwa kuwa ametumiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Magesa Mulongo.
Katika hatua nyingine Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa wa Arusha, kimekuwa na kikao kirefu kinachoongozwa na Mkuu wa Mkoa Mulongo na kwamba ajenda kubwa inayojadiliwa ni tukio zima la vurugu zilizotokea katika Chuo cha Uhasibu mkoani humo. Lema alikamatwa usiku wa kuamkia leo baada ya Askari wa Jeshi la Polisi kumfuata nyumbani kwake na kuzingira nyumba yake kabla ya zoezi la kumchomoa ndani ya nyumba hiyo kufanyika.
Mbune huyo anatuhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo kosa la kuchochea vurugu katika chuo hicho baada ya kutokea mauaji ya Mwanafunzi Henry Koga aliye uawa kwa kuchomwa kisu juzi akirejea chuoni hapo kutoka kwenye matembezi yake, hata hivyo haijajulikana mara moja sababu za kuawa kwa mwanafunzi huyo wala watuhumiwa hawajakamatwa.
My Out Look:
Nazidi kuyasadiki Maneno ya Rafiki yangu SSP Chuwa kuwa Tatizo sio Mulongo.
Yeye ana execute to Matakwa ya Mkulu Dhidi ya Lema.
Ile Issue ya Lema kumpa Live Mkulu kuwa analea Udini imemchoma sana Mkulu.
Rafiki Yangu SSP Chuwa Akaongeza, "CCM ni Wepesi Mno na Weupe Suala linapofika Mahakani"
Wao wana Mamlaka na Fedha, Lema ana Mungu
unatumia masaburi kufikiri we mtoto wa cha arusha
Hivi kwanini watanzania tusifuate mfano wa wananchi wa Misri,Tunisia na Libya?
Kuna haja gani ya kuendelea kuwavumilia hawa watawala wanaofanana na madikteta?
Sina uoga wowote ila mimi sio bendera fuata upepo kama wewe .