Uongozi wa Dunia hii unafuata falsafa za Kaisari Agusto, Mfalme Herode na Gavana Pilato. Namuona Hayati Magufuli kama Agusto na Mbowe kama Pilato

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,998
142,021
Ukiwachambua Viongozi wa Dunia hii falsafa na Tabia Zao lazima ziangukie kwa mmoja Kati ya Kaisari Agusto, Mfalme Herode au Gavana Pontio Pilato

Nitaleta kwenu historia Zao ila kwa wasiomjua Kaisari Agusto alikuwa ni mtu jasiri mwenye kupenda Watu na maendeleo lakini asiyetaka Ujinga na mambo ya kurudishana nyuma, Waitaliano walimwita Dikteta Mwenye Huruma

Na kwa ufupi Sana Pontio Pilato alikuwa ni Kiongozi mwoga, asiyejiamini na anayependa kufurahisha pande zote bila kusimama katika kweli

Mfalme Herode alikuwa ni Kiongozi Katili kwa asilimia zote

Mlale Unono!
 
Ukiwachambua Viongozi wa Dunia hii falsafa na Tabia Zao lazima ziangukie kwa mmoja Kati ya Kaisari Agusto, Mfalme Herode au Gavana Pontio Pilato

Nitaleta kwenu historia Zao ila kwa wasiomjua Kaisari Agusto alikuwa ni mtu jasiri mwenye kupenda Watu na maendeleo lakini asiyetaka Ujinga na mambo ya kurudishana nyuma, Waitaliano walimwita Dikteta Mwenye Huruma

Na kwa ufupi Sana Pontio Pilato alikuwa ni Kiongozi mwoga, asiyejiamini na anayependa kufurahisha pande zote bila kusimama katika kweli

Mfalme Herode alikuwa ni Kiongozi Katili kwa asilimia zote

Mlale Unono!
Takataka , eti na huyu Mungu ameumba Mtu!
 
Ukiwachambua Viongozi wa Dunia hii falsafa na Tabia Zao lazima ziangukie kwa mmoja Kati ya Kaisari Agusto, Mfalme Herode au Gavana Pontio Pilato

Nitaleta kwenu historia Zao ila kwa wasiomjua Kaisari Agusto alikuwa ni mtu jasiri mwenye kupenda Watu na maendeleo lakini asiyetaka Ujinga na mambo ya kurudishana nyuma, Waitaliano walimwita Dikteta Mwenye Huruma

Mlale Unono!
Mkuu Yahana Mbatizaji, johnthebaptist , asante kwa bandiko hili la ki falsafa na ki philosofia. Kumhusu JPM, naunga mkono hoja, japo ni kweli alikuwa dikiteta ila ni dikteta mzalendo, a benevolent dictator, yaani alifanya udikiteta ili kuijenga nchi!, kama alivyofanya Seretse Khama wa Botswana, Tito wa Yugoslavia, Lee Kuan Yew wa Singapore, Mustafa Kemal wa Uturuki and the like, hawa wote walitawala kwa mkono wa chuma na kuleta mapinduzi makubwa na maendeleo makubwa ya kiuchumi kwa nchi zao, kwa kuzibadili toka kwenye umasikini, hadi kugeuka kuwa ni nchi tajiri, hivyo Tanzania pia sio nchi masikini, tuko kwenye umasikini huu kwa sababu tulikosa mtu imara wa kutuongoza, hivyo hapa tulipofika, ili Tanzania tutoke kwenye umasikini huu, tunamuhitaji mtu kama huyu Magufuli ili mambo yaende!

Tanzania mahali tulipofika, tulimuhitaji mtu kama Magufuli, tukamuomba Mungu atupe, Mungu akaitikia sala zetu akatupa Magufuli Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
Na baada ya kukamilisha Mungu alichomletea, Mungu akamuita kwake kwa kumtwaa na saa hizi yuko naye kwake mbinguni Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Tunapokwenda kuadhimisha miaka 2 ya Tanzania bila Magufuli, tumkumbuke kwa mema.
P
 
Mkuu Yahana Mbatizaji, johnthebaptist , asante kwa bandiko hili la ki falsafa na ki philosofia. Kumhusu JPM, naunga mkono hoja, japo ni kweli alikuwa dikiteta ila ni dikteta mzalendo, a benevolent dictator, yaani alifanya udikiteta ili kuijenga nchi!, kama alivyofanya Seretse Khama wa Botswana, Tito wa Yugoslavia, Lee Kuan Yew wa Singapore, Mustafa Kemal wa Uturuki and the like, hawa wote walitawala kwa mkono wa chuma na kuleta mapinduzi makubwa na maendeleo makubwa ya kiuchumi kwa nchi zao, kwa kuzibadili toka kwenye umasikini, hadi kugeuka kuwa ni nchi tajiri, hivyo Tanzania pia sio nchi masikini, tuko kwenye umasikini huu kwa sababu tulikosa mtu imara wa kutuongoza, hivyo hapa tulipofika, ili Tanzania tutoke kwenye umasikini huu, tunamuhitaji mtu kama huyu Magufuli ili mambo yaende!

Tanzania mahali tulipofika, tulimuhitaji mtu kama Magufuli, tukamuomba Mungu atupe, Mungu akaitikia sala zetu akatupa Magufuli Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
Na baada ya kukamilisha Mungu alichomletea, Mungu akamuita kwake kwa kumtwaa na saa hizi yuko naye kwake mbinguni Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Tunapokwenda kuadhimisha miaka 2 ya Tanzania bila Magufuli, tumkumbuke kwa mema.
P
Naunga mkono hoja
2030 tunahitaji tena Dikteta Mzalendo baada ya SSH kumaliza awamu yake
 
Back
Top Bottom