Watetezi wa Bashite wana vichwa vigumu kuelewa sawa na Bashite mwenyewe ambae darasa la nne alidunda; la saba alidunda kidato cha nne alidunda!!! Yaani watetezi wa Bashite hadi leo wanadhani hoja dhidi ya Bashite ni kufeli kwa Bashite!!!
Maskini watetezi wa Bashite hadi leo hawajafahamu kwamba hoja dhidi ya Bashite sio kufeli bali kughushi vyeti!! Ni kutokana na ukweli huu ndo maana nashauri hawa watetezi wa Bashite watambuliwe!!!! Hawa ni viumbe adimu sana duniani na katu huwezi kuwapata popote pale zaidi ya hapa kwetu!!! Ni urithi wa taifa huu; wallah tena!!!
Maskini watetezi wa Bashite hadi leo hawajafahamu kwamba hoja dhidi ya Bashite sio kufeli bali kughushi vyeti!! Ni kutokana na ukweli huu ndo maana nashauri hawa watetezi wa Bashite watambuliwe!!!! Hawa ni viumbe adimu sana duniani na katu huwezi kuwapata popote pale zaidi ya hapa kwetu!!! Ni urithi wa taifa huu; wallah tena!!!