utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Hii sasa ni hatari na inatisha. Taarifa nilizozipata mda huu ni kwamba uongozi mzima wa CHADEMA wilaya ya Temeke umefungasha virago na kuhamia chama cha Alliance for Change and Tranceparency ACT.
Ngoma inogile, ACT inatwanga kote kote.
Ngoma inogile, ACT inatwanga kote kote.