Pendael laizer
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 958
- 101
miongoni mwa uongo wa kisiasa ndo huu! Can yu imagine 150 at once!!!! Kitu ambacho hakiwezekani kabisa!
jumuia ya wazazi ya ccm imefanya mkutano wao huko geita na moja kati ya yaliyotokea ni wanaojiita wanachama zaidi ya 150 kutoka chadema wamehamia ccm kihija ni pale kamera man wa itv alipi fanya zooming katika khanga iliyo tumika kukusanyia hizo kadi za chadema hakuna hata kadi moja iliyo choka (yaani iliyo tumika zote ni mpya) na hazijikunji kila ikiwekwa kwenya khanga inajinyoosha yenyewe.samahani sijaona hio kitu unaweza kunifafanulia??
miongoni mwa uongo wa kisiasa ndo huu! Can yu imagine 150 at once!!!! Kitu ambacho hakiwezekani kabisa!
miongoni mwa uongo wa kisiasa ndo huu! Can yu imagine 150 at once!!!! Kitu ambacho hakiwezekani kabisa!
Leo nimeshangaa kuona kadi za CHADEMA mpya tu ndo zinarudishwa alafu zote na inasemekana watu hao wamejifika gamba.
Nilichopenda kwa watu hao walio jivika gamba ni utunzaji uliotukuka.
mbona swala hili liko wazi kabisa kuwa baada ya bwana mkubwa kupanga ziara waliandaliwa watu maalumu kwa ajili ya kuchonga mchongo wa kumuingiza bwana mkubwa choo cha kike.
Hawakuwa wanachadema ni wanaccm wenyewe wamepeana kadi ili wazirudishe kwenye mkutano wao.
Watu wa Geita wamechoka kufundishwa kutukana na kuandamana wanataka sera.
Hiyo ni kweli kabisa kwasababu viongozi wa ccm walikuja ofisini kwangu wakanipa deal ya kuprint card 200 za CDM lakini Bahati mbaya nilikuwa nimebakiwa na material ya card 100 tu
Huu ni usanii ulio pitiliza,mbona kadi zenyewe ni mpya sana? Ukizikunja zinajikunjua zenyewe? Mnatia aibu na kichefuchefu,naona sasa hata uwezo wenu wa kudanganya umepungua.
Itv
Kadi ya Dr. Slaa ya CCM bado mpya au imechakaa?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums