Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Watu wasiofahamika wateketeza Kwa moto Kituo cha Redio Hits FM usiku wa kuamkia leo, kujeruhi mtangazaji. Meneja wa vipindi Juma Ayoub asema leo.
Watu wasio fahamika wamevamia kituo cha redio cha Hit Fm huko Zanzibar na kumjeruhi mtangazaji wa kituo hicho.
Watu pia walikichoma kituo hicho moto lakini hakijateketea chote.
Bado upelelezi unaendelea kwa taarifa zaidi.
Chanzo: ITV -breaknews