tzhosts
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 380
- 468
Mkuu,naelewa msingi wa hoja yako na kero unayopata ila pia kuna mambo mawili unapaswa kujua.Masters na PHD sio sawa na undergraduate degree..Vile usahihisishaji wa THESIS ni mchakato ambao unahitaji ubunifu na upekee katika utekelezaji wake.
Wanafunzi wengi wa masters na hata PHD wa siku hizi hasa wale ambao ni self sponsored huwa wanakuwa na tabia mbaya ya kufikiri kwama Masters na PHD ni kama Undergraduate studies,Wanaungaunga tu madesa na kujaribu kulazimisha thesis zao ziwe accepted bila kuwa critical au indepth.Matokeo yako ndo hao supervisors ambao nao wanakuwa mawenge mawenge.
Mtu mwenye masters anatakiwa aoneshe kiwango cha juu cha uelewa n kumudu eneo husika.Mtu wa PHD anapaswa kuleta mchango mpya wa maarifa katika eneo lake la utaalamu SWALI ni je mtu ambaye mwenyewe hajazama ipasavyo katika eneo husika anaweza kumpima mtu mwingine iwapo amezama katika eneo hilo.JIBU na haiwezekani.
Ndio maana mara zote huwa nawachallenge vijana wanaofanya Degree ya kwanza achague topic ya research ambay anaweza kuendelea nayo katika masters na PHD kwa kutafuta suluhu au maarifa kuhusu jambo ambalo linaweza leta mchango wa maarifa.Hii habari ya kuokoteza topics matokeo yake hata supervisor wako anashindwa jinsi ya kukusaidia.
All in All UDSM wanapaswa wajitazame upya maana haya malalamiko yamekuwa mengi na ni dalili kwamba kuna tatizo mahali.
Hata hivyo napenda kutoa ushauri kwa watu wote wanaofanya Masters na PHD.ni vyema ukawa na coach au mentor ambaye ni ziada ya Supervisor wako wa CHUO ili akusaidie na kukuongoza.SOMA vitabu sana pamoja na kazi za watafiti wengine na hakikisha kama unafanya utafiti basi fanya utafiti kweli usikurupuke maana Masters na PHD kwa uzoefu ni ngazi za elimu ambazo unapoamua kujiendeleza basi una mpango wa kuingia katika taaluma au utafiti ila kama unataka masters kwa ajili ya salary scale nafikir ni lazima utalaumu na kulalamika kuwa supervisor kakubania.
Tuendelee kuwasema UDSM najua watasikia na kujirekebisha.ILA PHD na MAsters za OPEN nafikiri ndo stress free.
Wanafunzi wengi wa masters na hata PHD wa siku hizi hasa wale ambao ni self sponsored huwa wanakuwa na tabia mbaya ya kufikiri kwama Masters na PHD ni kama Undergraduate studies,Wanaungaunga tu madesa na kujaribu kulazimisha thesis zao ziwe accepted bila kuwa critical au indepth.Matokeo yako ndo hao supervisors ambao nao wanakuwa mawenge mawenge.
Mtu mwenye masters anatakiwa aoneshe kiwango cha juu cha uelewa n kumudu eneo husika.Mtu wa PHD anapaswa kuleta mchango mpya wa maarifa katika eneo lake la utaalamu SWALI ni je mtu ambaye mwenyewe hajazama ipasavyo katika eneo husika anaweza kumpima mtu mwingine iwapo amezama katika eneo hilo.JIBU na haiwezekani.
Ndio maana mara zote huwa nawachallenge vijana wanaofanya Degree ya kwanza achague topic ya research ambay anaweza kuendelea nayo katika masters na PHD kwa kutafuta suluhu au maarifa kuhusu jambo ambalo linaweza leta mchango wa maarifa.Hii habari ya kuokoteza topics matokeo yake hata supervisor wako anashindwa jinsi ya kukusaidia.
All in All UDSM wanapaswa wajitazame upya maana haya malalamiko yamekuwa mengi na ni dalili kwamba kuna tatizo mahali.
Hata hivyo napenda kutoa ushauri kwa watu wote wanaofanya Masters na PHD.ni vyema ukawa na coach au mentor ambaye ni ziada ya Supervisor wako wa CHUO ili akusaidie na kukuongoza.SOMA vitabu sana pamoja na kazi za watafiti wengine na hakikisha kama unafanya utafiti basi fanya utafiti kweli usikurupuke maana Masters na PHD kwa uzoefu ni ngazi za elimu ambazo unapoamua kujiendeleza basi una mpango wa kuingia katika taaluma au utafiti ila kama unataka masters kwa ajili ya salary scale nafikir ni lazima utalaumu na kulalamika kuwa supervisor kakubania.
Tuendelee kuwasema UDSM najua watasikia na kujirekebisha.ILA PHD na MAsters za OPEN nafikiri ndo stress free.