Harnandez
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 408
- 344
- Thread starter
- #21
Sasa watu watakuja ooh UDSM architecture inazidi ya ARDHI na MUST mbeya la msingi unawaangalia na unasubiri kwenye soko la ajiraNakubaliana na mleta mada... wamepeleka tena Architecture pale ilihali sifa za kufundiisha course hiyo hawana... kiufupi hakuna maandalizi....
Chuo cha UDSM nadhani kimebaki jina.... course nyingi ni outdated so wanatafuta namna watakayoweza kuvutia wanafunzi kuja UDSM