The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
wa mikorogo
kitu obagi na makari.....inahuu.....
umeona eenhh!! sio hao wanaochanganya carolyt na sabuni ya magadi au jaribu!!
teh teh teh!!! gfsonwin umenfurahshaje thatha!! wengine wanapenda uuri lakin gharama hawapend!!hata fair and white uipate orijino toka paris ikiwa na manjano ya kihindi mbona watakutaka? ila hawa wa mekako na jaribu lol! wanakuwa kama kitimoto aliyelalia samadi ikamnyonyoa manyoya
teh teh teh!!! gfsonwin umenfurahshaje thatha!! wengine wanapenda uuri lakin gharama hawapend!!
wala mi ctumii mikorogo!! na hata kama ningekuwa natumia basi nsingetumia hyo nliyoitaja hapo yan cheap mkorogo!! wengi ujiharibu badala ya kujpendeesha!! na ndio maana hata kakamwisho akaona wanakuwa kama sanam lamichelini!!wa mikorogo
wengine cjui ndio hawataki kuachwa nyuma!! unakuta mtu mweusiiiiii kajichubua usoni mwili wote mweusi!! khaaaa!!!my dearst princess enny asikwambie mtu uzuri bana gharama. yaani miye nimeamua kuwa natural kwani najua simudu gharama za kuagiza ma fair and white original ama manjano ya kihindi. sasa wanaofanya kuchamba kwa michakachuo ya kicongo ndo hapo sasa waweza kulia ukiwaona wengine halafu ukute wamepata ma fangas ya uso lol! yaani huwaga naona kama kuku wa kisasa hasa wa nyama wanaonyonyoka nywele matakoni.
wengine cjui ndio hawataki kuachwa nyuma!! unakuta mtu mweusiiiiii kajichubua usoni mwili wote mweusi!! khaaaa!!!
kujibua ndo kujinini.....?
Preta, ni kweli hujuiiii au.....?
najua kujichubua lakini sio kujibua.....
btw.....mambo vipi....?
teh shemeji!! boramaana mama mwngne ataona unamdharau!!
khaaa!!! kwa style hyo bora usiulize kuliko kuijua kazi anayoifanya!!Shem wangu we acha tu,kuna mtu alishamuuliza mama yake habari ya kuvaa vimini mama akamwambia nisipovaa hivi utakula Wapi,kama umekua tafuta kwako.....