Waheshimiwa miye ninataka kuanzisha mradi wa kutengeneza unga wa lishe kwa watoto wadogo nimetafiti soko lipo la kuridhisha tu,nafaka zote zipo masokoni tatizo langu ni jinsi gani yakuchanganya hizi nafaka kwa uwiano gani nipate kitu sahii kwa watoto .akina dada hawanyonyeshi siku hizi nataka kuwasaidia kwa njia hii
ASANTENI
ASANTENI