Samahani kwa usumbufu hivi huyu wa kike au wakiume?Wachina watatuua! Sijui wamelisha nini huyu jamaa
Huyo atakuwa ni binadamu wa nyama kama kuna wanaokula binadamu
Kichwa kipi ?
Huyu hapa hamumuoni bado??
Wakuu kuna mtu aliwahi kuniambia kwamba katika hali ya kawaida sehemu au tundu lolote hata liwe dogo kiasi gani kama kichwa kikiweza kupenya basi na mwili mzima utaweza kupenya. sasa kwa kuangalia hii picha najiuliza kama hoja hiyo ni ya kweli au la. Nazungumzia kichwa cha juu jamani sio kile kingine!
siyo kweli picha hii ni ya ku copy na ku paste