Ngoja wamlaumu akitoka huko atawalipua wote...kwa hiyo wanataka kumtupia lawama Zitto??
Zitto alitoa ushauri wa namna toufati, na ushauri ni ushauri tu. Waweza kukubaliwa au kukataliwa. Zitto hajatumia madaraka vibaya bali alitumia uhuru wake. Tusimwandame mtu kwa chuki tu au kwa wivu tu. Sasa hata maoni imekuwa undumilakuwili? Je hao wanatumia madaraka yao kuifilisi nchi tunaowatetea tuseme ni nini hiyo?
i am just curious kujua stella aliwahi kutoa ushairi wowote bungeni.. zabda jinsi ya kulinda wauwaji na kuziba njia kwenye nymba zaoZitto ali SHAURI yote mawili wakati wa Dowans -Itaifishwe au inunuliwe, Chaguo lenu! Huyo Stella Manyanya alishauri lipi?
Live toka bungeni kumbe Zito alishauri mkataba wa Richmond uvunjwe na ndo uyo uyo akashauri mitambo iyo iyo inunuliwe.
Wenye kumbukumbu fresh ebu tukumbushane Zito alishauri inunuliwe au itaifishwe?
Live toka bungeni kumbe Zito alishauri mkataba wa Richmond uvunjwe na ndo uyo uyo akashauri mitambo iyo iyo inunuliwe.
Wenye kumbukumbu fresh ebu tukumbushane Zito alishauri inunuliwe au itaifishwe?