Tulieni dawa iwaingieHakuna hospitali ya magufuli kuha hospitali za walipakodi wa Tanzania..siku watanzania wakielewa kuwa wao ndio maboss wangeacha kushabikia wapumbafu wachache kama mtoa uzi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa imuingie nani sasa, mwenye betri kwenye moyo au nani ?Tulieni dawa iwaingie
Zile siyo hospital zake kama unavyoghani hapa kuhani wewe. Ni hospital za watanzania kwakuwa hakujenga kupitia zile 10% zake za manunuzi haramu ya ndege huku Akikalia sheria ya manunuzi ya umma MAKALIONI MWAKE.Lakini hospitali zake hazijafa na utazitumia sana
Ikuingie weweTulieni dawa iwaingie
Magufuli ana hospitali gani hapa Tz?Lakini hospitali zake hazijafa na utazitumia sana
Mwambie kwa sauti kwamba kambarage angekuwa mbinafsi kama magufuli madaraja yot yore na kila kitu alichorith toka kwa mkoloni kuanzia mitaa kungekuwa cha kwake pasingekuwa na makona.mkuu nikufahamishe tu kua, MAGUFULI hakuwai kua mmiliki wa hospitali Tanzania. hospitali ni za watanzania wote kwa sababu kodi zao ndio zilizojenga hospitali hizo. mwananchi anaposema huduma katika hospitali fulani imekua mbovu haimaanishi yeye akiugua hatatibiwa katika hospitali aliosema inatoa huduma mbovu isipokua anataka huduma ziboreshwe.
Kajenga kwa pesa yake wewe zuzuma???Si huwa mnazitukana?
Mods hii Takataka kwanini mnaitunza bado? Magufuli alitoa wapi hosp?Malipo ni hapa hapa duniani.
Mdude amekuwa bingwa wa kutoona juhudi za rais Magufuli katika kuwaletea maendeleo watanzania ikiwemo kuwajengea hospitali na zahanati kila mahali. Mdude amekuwa akisema hizi hospital hazina madawa na hazifai kutibu hata mende!
Niwape ushauri tu vijana wa chadema, siasa zisiwafanye mshindwe kuona juhudi kubwa zinazofanywa na rais wetu.View attachment 1092451
Wewe mrembo Magufuli hana hospitalKumbe alikuwa anatukana hospitali ya nani?
Alizaliwa nazo kwa mama yake??Lakini hospitali zake hazijafa na utazitumia sana
Kama dushe linavyokuingia tigoni kwako hukoTulieni dawa iwaingie
Were mbwa sio kila anayewakosoa nyinyi ni mpinzani au chademaImekuwa ni desturi kwa chadema kujiona wana haki ya kukosoa tu!
Kwa muda mrefu uhuru wa habari kichwani mwa Chadema unamanisha ni kutukana na kukosoa wengine ila wao kukosolewa hapana.
Ukiwakosoa chadema watakuita ni dikteta ila wao wakikukosoa wanaita ni uhuru wa habari!!!
Kitendo cha Chadema kuanzisha kampeni ya kuunfollow Clouds kisa tu wamehoji watu wanaowakosoa siyo haki kabisa na ni unyumbu na uzwazwa wa hali juu kwenye chama hicho.
Jiulize kama Lema ambaye hana cheo chochote anaishi kwa kulelewa na wanaume wenzake huko Ulaya anaweza kuanzisha kampeni ya kipuuzi namna hiyo kisa tu dikteta Mbowe amekosolewa, vipi Lema angekuwa rais wa nchi angechukua hatua gani kwa clouds na wakosoaji wa mienendo ya Chadema?
Bila shaka chadema wanaohubiri demokrasia na uhuru wa kutoa maoni hawana chembe hata tone la uvumilivu pindi wanapokosolewa.
Magufuli hana hospitali ni mali za watanzania wote zimejengwa kwa kodi zetu wote hakutoa fedha zake mfukoniMalipo ni hapa hapa duniani.
Mdude amekuwa bingwa wa kutoona juhudi za rais Magufuli katika kuwaletea maendeleo watanzania ikiwemo kuwajengea hospitali na zahanati kila mahali. Mdude amekuwa akisema hizi hospital hazina madawa na hazifai kutibu hata mende!
Niwape ushauri tu vijana wa chadema, siasa zisiwafanye mshindwe kuona juhudi kubwa zinazofanywa na rais wetu.View attachment 1092451kodi za
Kuna hospital za JPM au serikali?Malipo ni hapa hapa duniani.
Mdude amekuwa bingwa wa kutoona juhudi za rais Magufuli katika kuwaletea maendeleo watanzania ikiwemo kuwajengea hospitali na zahanati kila mahali. Mdude amekuwa akisema hizi hospital hazina madawa na hazifai kutibu hata mende!
Niwape ushauri tu vijana wa chadema, siasa zisiwafanye mshindwe kuona juhudi kubwa zinazofanywa na rais wetu.View attachment 1092451
Amejenga lini ni tajiri kwan si mtumishi wa ummaNi za JPM