Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,309
- 4,017
Sikulazimishi kuoa, ila sio kuwa easily taken na maneno ya kiufundi ya mtandaoni bila ya kujua asili ya kweli ya huyo anaepost.
Hata hawa jamaa wa "Tafuta hela wewe" wengi unakuta wapo vijiweni wanasubiria kahawa na visheti vya 200 amalizie siku huku akijipiga tafu na bando la Vodacom.
Acha kuoa kwa misingi muhimu na imani iliojitoshereza huku ukiwa na back up plan jinsi gani ya kuishi katika dunia hii inayo amini katika misingi ya ndoa.
Sio tu kukupuruka kufanya uamuzi kutokana na vimaneno vya JF. Maana huyo anaeandika kataa ndoa unaweza kuta mke wake anamfulia boxers zake kila siku.
Kama hauwezi tafuna, mumunya, ukweli ndio huo.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Hata hawa jamaa wa "Tafuta hela wewe" wengi unakuta wapo vijiweni wanasubiria kahawa na visheti vya 200 amalizie siku huku akijipiga tafu na bando la Vodacom.
Acha kuoa kwa misingi muhimu na imani iliojitoshereza huku ukiwa na back up plan jinsi gani ya kuishi katika dunia hii inayo amini katika misingi ya ndoa.
Sio tu kukupuruka kufanya uamuzi kutokana na vimaneno vya JF. Maana huyo anaeandika kataa ndoa unaweza kuta mke wake anamfulia boxers zake kila siku.
Kama hauwezi tafuna, mumunya, ukweli ndio huo.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app