Unafahamu misingi ya utawala bora au umeamuwa kujifurahisha? Kufadhili magaidi na kujenga misikiti hili kwako ndio kipimo cha kiongozi bora?Naamini huyu ndiye aliyekuwa kiongozi bora kabisa wa Afrika
ambaye wananchi wake wataanza kujuta siku si nyingi kwa
kuondoka kwake!