Ninao wa kwangu wana miezi mitatu wote wamefanana sijui yupi jike yupi dume.jamani mbona mi naona vichwa vinafanana
Chululu zao hazina tofauti?😀Dume mbawa fupi,jike mbawa ndefu
Soma ya Pili hiyoChululu zao hazina tofauti?😀
Nifundishe basi mwalimuSoma ya Pili hiyo
Kwani umeambiwa hao ni paka? 😅😅 Maana paka dume ndio linabichwa kubwa.Dume ana kichwa kikubwa na tetea kidogo
Dume huchelewa kuota mkiaNifundishe basi mwalimu
Chukua kifaranga, kibane mdomo alaf kiache kining'inie. Ukiona kina kukuruka, ujue huyo ni jogoo. Ukiona kimetulia tu, ujue huyo ni jike.Wakuu hasa wafugaji!!
Nataka nianze kufuga kuku majoo wa kienyeji ila nataka Dume tu ndo wanakua haraka
Hannavya umri gani mkuu? Vya kiume huwa havina manyonya mengi kama ni kienyeji
Ujumbe wako umefika, anataka kuongea na ww. So naomba tuchekiane nikuunganishe naeDume ana kichwa kikubwa na tetea kidogo