Unataka Kufungua Blackberry au I-Phone ya Uingeleza , USA na China? Muone huyu

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
anayetaka kufungua simu kutoka nje, au yenye magonjwa mbali mbai kama kuzima, kuondoa taka taka Muone Mwesiga wa Empress Cinema na Kariakoo aggrey, naponesha sana, na eti ndio mwanzilishi wa Technologia ya utengenezaji wa simu nchini, ana uzoefu wa miaka kumi na mbili kwenye GSM technology, anapatikana kwa namba 0658-501807 .
ana kadi za iphone 4s gevey kadi mpya wahi amebakiza chache
 
wewe acha uongo, yule jamaa ni hatari sana , kalete tena, ila usiwe umeweza mEP counter zero, hiyo haitapona kabisa,
Yule anayesema Uingeleza ninini ni kule nchi za watu weupe
 
Hizo zote ni njia za kusaka tonge tu, acheni kujipa sifa msizokuwa nazo wakat mafundi wapo wengi na wazuri zaid huku kitaa.
 
Back
Top Bottom