AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
" karibu asilimia kubwa ya bunge letu limejazwa na wabunge wa CCM ambapo kutokana na hali hii huwawia vigumu sana viongozi wa upinzani bungeni kupata nafasi za juu za uongozi ktk bunge mfano uspika, na uenyekiti wa kamati nyeti bungeni mfano ni pale ambapo mabere marando alipogombea uspika na kuambulia patupu!
Nahitaji mchango wenu wana JF why zitto kabwe,augustine mrema na john cheyo ndio waliofanikiwa kupata kura hata kutoka kwa wabunge wa ccm na kupata fursa za uwenyeviti ktk kamati nyeti za bunge?!"
Mchango wako ni wa muhimu kwani utasaidia na viongozi wengine wa upinzani kama lissu, mnyika, mbowe etc ktk chaguzi zijazo za bunge ili na wenyewe waweze kupata fursa hii kama ya hao wenzao wakina zitto pia utaweza kumsaida kamanda komu ili aweze kushinda kwenye uchaguzi wa mbung E.A kutoka upinzani.
Solidarity forever'
Nahitaji mchango wenu wana JF why zitto kabwe,augustine mrema na john cheyo ndio waliofanikiwa kupata kura hata kutoka kwa wabunge wa ccm na kupata fursa za uwenyeviti ktk kamati nyeti za bunge?!"
Mchango wako ni wa muhimu kwani utasaidia na viongozi wengine wa upinzani kama lissu, mnyika, mbowe etc ktk chaguzi zijazo za bunge ili na wenyewe waweze kupata fursa hii kama ya hao wenzao wakina zitto pia utaweza kumsaida kamanda komu ili aweze kushinda kwenye uchaguzi wa mbung E.A kutoka upinzani.
Solidarity forever'