Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,593
nashangaa navoona arusha one kunifungia vioo kama haelewi alichonipromic, na nakushangaa weye shosti wangu kwa kunkalia kimya hata pm
Soon beibe nasty! Sasa mambo ya waziri mkuu (PM) unaweka humu?
Unashangaa shangaa nini?
Kamshange Diamond,
Uso fanta, miguu pepsi, kiwiko vimto.
Madame B umeuaaa...hahhahahhaa. Nimecheka mpk basi.
Me namshanga mtu aitwaye wakati ndio sasa... king'ang'anizi kama kupe! Naomba uninong'oneze hivi ulimpa nini ukampagawisha? Na nitakushanga zaidi endapo utaweka kapuni jibu langu.
Namshangaa Bishanga bilionea babu jinga! Pampers toka lini zikafuliwa?
mambo vipi wewe, unashangaashangaa nini? kashangae mikumi chui kavaa batiki. . .
unashangaashangaa nini? kashangae chooni funza wanacheza yekeyeke. . .
Jiwe Linaloishi you have made my day!
nashangaa wns amekuwa obssed kwa cousin yangu lol halafu hata shem C6 hajawahi kurusha ngumi lol
hahahaa, hao watakuwa likiso ya muda mfupi. afu wewe ngoja nikupm make una kesi na mimi
Unashangaa shangaa nini?
Kamshange Diamond,
Uso fanta, miguu pepsi, kiwiko vimto.
:biggrin1::biggrin1: nimecheka mpaka nimemuamsha mtu hapa, sikujua ana mixer ya namna hiyo :happy: