Unaporuhusu kutawaliwa na biashara za kigeni katika biashara za mwananchi wa kawaida, sio bure umeuza nchi

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,309
4,017
Tumefunzwa kumchukia mzungu then tukafunzwa kumuheshimu Mchina.

Tulimfukuza mzungu kwa maana hatutaka mabavu na dominance yake ila leo tunakaribisha dominance ya "Li hao Ming" katika biashara za maisha ya kila siku.

Haiwezekani foreigner ambae nchi yake ndio manufacturer na wholesaler mkubwa kwa wajasiriamali nchini tena aje nchini aweke soko la bidhaa zake na jinsi wakina "Kim lin ho" walivyo wakuda watashusha bei watu wakimbie kutoka kwenye maduka ya waswahili.

Tanzania, ooh, Tanzania yangu.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Kweli tupu
Please TISS do something.
Please JWTZ intervene.
Unashindanaje na anayepewa mzigo bure auze alipe au mkopo wake una riba ya 3% wewe 25%!!
Haya mambo kuna hatari ya SA kulana kutokea huku in near future.
Kinachoumiza mtu kuangalia kwake mbali ni upeo wa mita 5 yan miaka 5 ya uchaguzi!!
Wasomi tunao. Lakin uzalendo kisoda!
 
Kweli tupu
Please TISS do something.
Please JWTZ intervene.
Unashindanaje na anayepewa mzigo bure auze alipe au mkopo wake una riba ya 3% wewe 25%!!
Haya mambo kuna hatari ya SA kulana kutokea huku in near future.
Kinachoumiza mtu kuangalia kwake mbali ni upeo wa mita 5 yan miaka 5 ya uchaguzi!!
Wasomi tunao. Lakin uzalendo kisoda!
Benki gani inayotoa mkopo kwa riba ya 3% mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli tupu
Please TISS do something.
Please JWTZ intervene.
Unashindanaje na anayepewa mzigo bure auze alipe au mkopo wake una riba ya 3% wewe 25%!!
Haya mambo kuna hatari ya SA kulana kutokea huku in near future.
Kinachoumiza mtu kuangalia kwake mbali ni upeo wa mita 5 yan miaka 5 ya uchaguzi!!
Wasomi tunao. Lakin uzalendo kisoda!
Umeeleza mzizi wa matatizo ya taifa letu katika sentensi moja fupi sana.

Nchi yetu inamalizwa na wanasiasa, wanasiasa wanaowaza uchaguzi ujao. Kila maamuzi wanayofanya yanaangalia uchaguzi ujao, hili ni tatizo kubwa sana.

Kuhusu wachina hapa nchini, nadhani miaka 20 ijayo watakuwa nusu ya watanzania wote na kuna sehemu watanzania watanyimwa kuingia kwakuwa ni mtaa wa wachina tu.
 
Umeeleza mzizi wa matatizo ya taifa letu katika sentensi moja fupi sana.

Nchi yetu inamalizwa na wanasiasa, wanasiasa wanaowaza uchaguzi ujao. Kila maamuzi wanayofanya yanaangalia uchaguzi ujao, hili ni tatizo kubwa sana.

Kuhusu wachina hapa nchini, nadhani miaka 20 ijayo watakuwa nusu ya watanzania wote na kuna sehemu watanzania watanyimwa kuingia kwakuwa ni mtaa wa wachina tu.
Ila ninachowaheshimu hawadungidungi mimba hovyo wanawake
 
Huu upuuzi ulioandika hapa. Siku itafika hao Wachina wenu mliowakabidhi nchi ninyi wapumbavu wa ccm , watachinjwa na hawa wananchi mnaowaona mafala.
Wapi kwingine Duniani wanachinjwa? Umewahi ona wapi raia wa Dona country anachinjwa? Sana sana wewe ndio utachinjwa.

Hakuna mteremko ,Kwa nini na wewe usije na pesa ukabidhiwe? Maskini Huwa mnajifariji Kwa ujinga sana.
 
Back
Top Bottom