zimwimtu
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 1,988
- 1,095
Ni kisa cha kweli
.
Jamaa ana mke na kimaisha si haba, kajaliwa kupata vijisentkadhaa.., so kaona ni bora kuwainua ndugu kielimu. Kamuita mdogo wake pamoja nashemeji yake (wa kiume) na kawapeleka shule moja ya day hapa mjini daslam. Vijana hao wawili wakiwa sebuleni wanajisomeausiku ( mida ya saa 6 hivi) jamaa kaanza kuburudika na mkewe, burudani heavympaka sauti zinafika sebuleni. Mdogo wake mme kaanza kucheka, bt mdogo wake mkekakasirika kaanza kumpiga anaecheka!!!. Mme ikabidi asitishe gem kaja sebulenikujua kulikoni baada ya kusikia vurugu.
Kuwauliza hakuna mwenye jibu kwa nini wanapigana.
The next day, mdogo wake mme katoboa siri ya ugomvi wao,kuwa tulisikia makelele yenu usiku, mienikacheka ila mwenzangu kakasirika ndotukaanza kupigana.
Huyu jamaa afanye nini kum-please shemeji yake, coz badohawaelewani na mwenzie. Hata shule wanaenda kila mtu kivyake!....
Ushauri tafadhari
Jamaa ana mke na kimaisha si haba, kajaliwa kupata vijisentkadhaa.., so kaona ni bora kuwainua ndugu kielimu. Kamuita mdogo wake pamoja nashemeji yake (wa kiume) na kawapeleka shule moja ya day hapa mjini daslam. Vijana hao wawili wakiwa sebuleni wanajisomeausiku ( mida ya saa 6 hivi) jamaa kaanza kuburudika na mkewe, burudani heavympaka sauti zinafika sebuleni. Mdogo wake mme kaanza kucheka, bt mdogo wake mkekakasirika kaanza kumpiga anaecheka!!!. Mme ikabidi asitishe gem kaja sebulenikujua kulikoni baada ya kusikia vurugu.
Kuwauliza hakuna mwenye jibu kwa nini wanapigana.
The next day, mdogo wake mme katoboa siri ya ugomvi wao,kuwa tulisikia makelele yenu usiku, mienikacheka ila mwenzangu kakasirika ndotukaanza kupigana.
Huyu jamaa afanye nini kum-please shemeji yake, coz badohawaelewani na mwenzie. Hata shule wanaenda kila mtu kivyake!....
Ushauri tafadhari