KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Hivi wakuu unapopata mpenzi wako mpya na mapenzi ndo kwanza ya motomoto ikatokea akapigiwa simu na na XBoyfriend wake kwanini wanaume huwatuna chukia nakunung'unika mpaka kumwambia mpenzi wako mimi sitaki uendelee kuwasiliana naye??lakini wewe ukipigiwa poa tu na unamwambia huyo ni Xgal wangu namwambia kwamba kwasasa aachane na mimi nimeshampata nimpendaye na Huyo mpenzi wako halalamiki!!Hila wewe akipigiwa simu yeye unakasirika wakati unajua fika huko nyuma alikuwa na mtu napengine wewe ndiye umevuruga uhusiano wao!!Nikwanini??Tujiulize!