Unampa ngapi mwanamitindo huyu?

Salahan

JF-Expert Member
Sep 10, 2014
2,942
3,606
12321449_858978904230612_367529675935058467_n.jpg
 
Iwapo angetumia mabaki ya mbogamboga ingekuwa vema lakini anapotumia mbogamboga ambazo wengine wanazitafuta kama mlo na hawazipati hawezi kueleweka vema.
 
Kwa mila,desturi na utamaduni wa kiafrika haikubaliki kuchezea chakula hadharani namna hiyo.
 
Ngoja apite karibu ya mbuzi ndo ataelewa kwa nin mtu ukizingua unaitwa mbuzi
 
Back
Top Bottom