Unamkumbuka Murtaza Lakha?!

Kama kawaida ya wadosi kumbe alipochuma zikatosha akaishia kwao UK. Na kutokana na website iliyokuwa provided hapa inaonekana alishakufa siku mingi.
 
Mola ampumzishe kwa amani

Ohh jamani kwani naye amefariki?

Namkumbuka Lakha kwenye hiyo kesi maarufu ya uhaini was in std 3 wakati ule! Nilikuwa silikosi gazeti; wazazi wakinunua ni lazima nahakiiisha ninalisoma na marafiki zangu.
 
Ohh jamani kwani naye amefariki?

Namkumbuka Lkha kwenye hiyo kesi maarufu ya uhaini was in std 3 wakati ule! nilikuwa silikosi gazeti; wazazi wakinunua ni lazima nahakiiisha ninalisoma na marafiki zangu

Ulikuwa unasoma kwa kupenda au ulikuwa unasoma kumfurahisha baba? teh teh
Nadhani miaka hiyo kama ilikuwa kusoma basi ilikuwa ni SANI. Kama ni kutumwa sukari kg 1 utanunua nusu nipate ganji ya gazeti la sani
 
Nyingi tuu mazee, Nakumbuka jamaa yangu alikuwa na kakesi kakijinga jinga akamweka Lakha amtetee...
Zaidi ya "kakesi kakijinga jinga," hakuna kesi ya maana aliyowahi kushinda zaidi ya ndugu yako kufutiwa kuiba kuku? Hizi za uhaini alikuwa anashindwa shindwa, au?
 
Binafsi simshadidi sana Advocate Lahka (RIP): Katika kesi hii nilivutiwa na:

Capt E Maganga
Capt Kadege
??? Banyikwa
?? Chipaka Brothers

Cpt Kadege (retired) nimekutana naye mara mbili mitaa ya Tegeta - The rest sijui wako wapi?
 
Murtaza Ahmed Lakha was born on 6 August 1940 in Zanzibar to a pious lady by the name of Sughra and to Ahmed Abdulrasul Lakha MBE who was a zakir, a linguist and a successful industrialist recognised by all the communities that knew him to be an influential leader.

He was the last born with five siblings. He emulated his father whom he had served to the end. From a very tender age he was reputed to be wise with a formidable and charming personality, yet humble. Having always been an excellent student in Zanzibar, he completed his Barrister-at-law qualifications at the age of twenty and graduated top of his year. Being underage he had to wait another year before he could be called to the Bar at Lincoln's Inn in London. His devotion to his parents is inspiring, for he declined a prestigious offer from Lord Denning to join his chambers in London, in order to swiftly return to Zanzibar where he served his family and the community under trying circumstances.

Professionally he was widely regarded as one of the best lawyers in East Africa and he continued to command respect for his knowledge of the law and its application when he moved to London. He was often invited to present papers at the International Bar Association conferences around the world. In times of crisis he was relied upon for his wisdom and sincerity by both individuals and institutions.
 
Binafsi simshadidi sana Advocate Lahka (RIP): Katika kesi hii nilivutiwa na:

Capt E Maganga
Capt Kadege
??? Banyikwa
?? Chipaka Brothers

Cpt Kadege (retired) nimekutana naye mara mbili mitaa ya Tegeta - The rest sijui wako wapi?


Huyo kwenye red, ni kada maarufu wa CCM kwa sasa
 
Wengine tulikuwa wadogo....mnamfananisha na nani wasasa....
Atleast tupate pa kuanzia kumkumbuka...
 
Ulikuwa unasoma kwa kupenda au ulikuwa unasoma kumfurahisha baba? teh teh
nadhani miaka hiyo kama ilikuwa kusoma basi ilikuwa ni SANI. kama ni kutumwa sukari kg 1 utanunua nusu nipate ganji ya gazeti la sani

...Ok, Kimwanga. Yupo wapi siku hizi?? Jamaa alikuwa muandishi mzuri wa makala za burdani ingawaje hakupenda kupingwa alichoandika yeye.
 
Huyu Marhum Alhaj Murtaza Ahmed Lakha ametoa Publications za dini, sijaona yoyote ya kisheria kwenye website yake!
 
Aliwahi kusaidia kushinda kesi gani?
Alishinda Kesi ya Mauaji Mwanza ya mwaka 1979 kwa mshtakiwa wa pili aliye tetewa na Lakha, aliachiwa huru, wengine wote walitiwa hatiani. Wakati huo j

Wakati huo Jaji Kiongozi ni Nasoro Mzavas. DPP ni Kulwa Satto Massaba. IGP ni Philemon Mgaya. Kesi ilihusu mauaji ya watuhumiwa wa mauaji ya vikongwe ambapo watuhumiwa wawilli, Masanja Makhula Manzenganuka na Isaack Mwanamkobhoko walipoteza maisha kwenye mahojiano eneo la Kigoto.
Waziri wa Mambo ya ndani, Ali Hassan Mwinyi alijiulu kufuatia kadhia hiyo.

Lakha ndiye alikuwa top advocate na most expensive.
 
Back
Top Bottom