Luno G
JF-Expert Member
- Sep 22, 2012
- 2,549
- 1,842
Mimi wa kwangu nikimuona sasa hivi najiuliza hivi macho yangu yalikuwa na matatzo gani nilikuwa ninaona nini kwake
Hapo kwenye ubovu ndio tunaungan na nyinyi yaani nikikutana nae najiulizaga nilivurugwa na nini kwake?Secondary's Crush Sophia Mungu anakuona.
Alijua kabisa mimi ni domo zege ila akawa anajifanya haoni richa ya kumwandikia sana noticies za Biology na michoro kama yote. Nimeandika sana vinemo katikati ya daftari lake la Bios ila anauchuna tu. Nilimpenda sana nikapenda mwandiko wake nikapenda hadi mtaa aliokua anaishi. Kuna wakati nilikua Natamani sana niisukune nyumba yetu hadi mtaani kwao niwe namuona....Nilimchukia baba kwakutokununua kiwanja mtaani kwa Sofia
2019 alinitafuta baada ya miaka mingi kupotezana ila sikua nampenda hata robo .