engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
JF wadau
kuna jambo bado silielewi juu ya wabunge walio DODOMA ktk kipindi cha bajeti,utasikia mbunge anasema naunga mkono bajeti kwa 100%,lakini mwisho wa siku mbunge huyohuyo analalama kuwa jimbo langu ni masikini,halmashauri ni kubwa pesa ni ndogo,maji ya tuwasa hayatoshi,kata ni nyingi lakini mwisho wa siku unasikia naunga mkono hoja sasa nini maana yake?
kuna jambo bado silielewi juu ya wabunge walio DODOMA ktk kipindi cha bajeti,utasikia mbunge anasema naunga mkono bajeti kwa 100%,lakini mwisho wa siku mbunge huyohuyo analalama kuwa jimbo langu ni masikini,halmashauri ni kubwa pesa ni ndogo,maji ya tuwasa hayatoshi,kata ni nyingi lakini mwisho wa siku unasikia naunga mkono hoja sasa nini maana yake?