Unajua kwanini Nyerere alisema wanafunzi waanze shule na miaka saba?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,237
12,751
Zamani kabla ya kubadilishwa kwa sheria wanafunzi walikuwa wanaanza shule wakiwa na miaka 5 kama ilivyo sehemu nyingi duniani. Lakini Nyerere mjamaa alikuwa anahitaji sana wafanyakazi.

Akaona wanafunzi wanaoanza shule na miaka mitano wanamaliza darasa la saba wakiwa wadogo sana kuweza kuwapigisha kazi. Na hata wakiwa shuleni kwenyewe hawawezi kupiga kazi za maana. Akaonelea ni bora kuongeza miaka ya kuanza shule, ili wanafunzi waweze kupiga kazi na mara tu wanapotoka shuleni wawe na uwezo wa kupiga kazi.

Miaka hiyo haikupangwa kwa kuangalia kukomaa kwa ubongo bali kukomaa kimwili. Nyerere ameandika hayo ndani ya kitabu Elimu ya Kujitegemea.
 
Ndo maana zamani tulikuwa tunasoma na madingi, unakuta demu wa darasa la 5 ashazoea kupigwa rungu saizi binti wa darasa la tano hata pampasi anavaa
 
Zamani kabla ya kubadilishwa kwa sheria wanafunzi walikuwa wanaanza shule wakiwa na miaka 5 kama ilivyo sehemu nyingi duniani. Lakini Nyerere mjamaa alikuwa anahitaji sana wafanyakazi.

Akaona wanafunzi wanaoanza shule na miaka mitano wanamaliza darasa la saba wakiwa wadogo sana kuweza kuwapigisha kazi. Na hata wakiwa shuleni kwenyewe hawawezi kupiga kazi za maana. Akaonelea ni bora kuongeza miaka ya kuanza shule, ili wanafunzi waweze kupiga kazi na mara tu wanapotoka shuleni wawe na uwezo wa kupiga kazi.

Miaka hiyo haikupangwa kwa kuangalia kukomaa kwa ubongo bali kukomaa kimwili. Nyerere ameandika hayo ndani ya kitabu Elimu ya Kujitegemea.
sio kweli, sio kwamba miaka saba ililetwa ili kuepuka wanafunzi wasicheleweshwe shule??
kwa masimuliizi huko kabla ilikuwa kawaida mtu ana miaka 12 anaanza ka kwanza ikawekwa hiyo saba kupunguza umri waanze wakiwa wadogo

hayo ya miaka mitano kuanza shule n mambo mapya yaloletwa na uwepo wa shule za chekechea na wamama wanofanya kazi kutokuwa na muda wa kulea watoto nyumbani, wnawakimbizia shule
 
Back
Top Bottom