Nyumbani kwangu nimeshapiga marufuku mtu yoyote mwenye Itikadi au mtazamo wa CCM kukanyaga.
Ole wake mwanaCCM yoyote atakayeleta pua kuingia nyumbani kwangu.
mawazo yako potofu tuu nakuto kujua ndomana unasema hivyo...
ni nani alie CCM alieshinda bila kutoa rushwa na kuiba kura?
Ni nani CCM asie fisadi?
ninani CCM asie na uchu wa madaraka?
LIwalo na liwe....
mspichagua CCM mtakufa... kauli ya Mwigulu akiwa Arusha.
Lukuli akasema Chadema walizuia polisi kumkamata mrusha bomu wkt polisi ndio waliofyatua risasi kuwajeruhi walio
taka kumkamata mrusha bomu na akatoroshwa na polisi.
Nape alisema Mbowe atakutana na aibu yake Arusha ndio hiyo ya kunusurika kulipoliwa na bomu.
ushahidi huu na zingine zinadhihirisha bila shaka kuwa ni chama cha........????
malizia mwenyewe.
Zamani nilikuwa naheshimu mtu akiniambia yupo ccm japo nilikuwa upinzani ila kwasasa nikisikia hivyo nahisi mtu huyo atakuwa either anatatizo la psychology au ni njaa tu. Sijui wadau wengine