Wakuu lipo shamba zuri sana maeneo ya Kiromo Bagamoyo.Ni shamba lenye ukubwa wa ekari Saba,kila ekari ni Tsh 3,000,000/-maongezi yapo.Ni shamba halali,na hatua zote za kujiridhisha uhalali wake zitafuatwa wakati wa ununuzi.
how far is kiromo from bagamoyo mjini?
Mjema ndio naona leo ni pm please ur number nikupigieWana JF,bei imeshuka hadi 2800,000/-munasemaje?????
Wakuu lipo shamba zuri sana maeneo ya Kiromo Bagamoyo.Ni shamba lenye ukubwa wa ekari Saba,kila ekari ni Tsh 3,000,000/-maongezi yapo.Ni shamba halali,na hatua zote za kujiridhisha uhalali wake zitafuatwa wakati wa ununuzi.
naogopa kukaa karibu na mkwere ataniambukiza virus vya rushwa na kuwa mwizi.