mama lubango
Member
- Aug 16, 2011
- 56
- 8
Nina miaka 24 natafuta mwanaume mwema wa kunioa in the next one or two years.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa tz mwaka wa pili nasomea degree ya ualimu.
Ni dada mtulivu nisie na makuu mrefu kidogo mnene kwa mbali.
Natafuta mwanaume mkristo asiwe msabato au roman. Then asiwe mwenyeji wa mikoa ya Mara au Ukerewe.
I love sukuma, haya chagga or nyiramba men.
Pia awe mrefu elimu yake isiwe chini ya shahada.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa tz mwaka wa pili nasomea degree ya ualimu.
Ni dada mtulivu nisie na makuu mrefu kidogo mnene kwa mbali.
Natafuta mwanaume mkristo asiwe msabato au roman. Then asiwe mwenyeji wa mikoa ya Mara au Ukerewe.
I love sukuma, haya chagga or nyiramba men.
Pia awe mrefu elimu yake isiwe chini ya shahada.