Kuna kazi nasikia bi faraja anamwasga wimbo wake niko hoi naona nae yeye kaifwata cd yake sasa unaenda show unamkuta jd
unatarajia itakuwaje jamani hiyo show si bora uemde njenje pale salendaclub nikaone wazzee wakijinafsi
clouds wameboa, hao THT dancers ndio kabisa..................hizo ela sijui wanapeleka wapi? badala ya kuwaletea watu wasanii wa kueleweka...wanaleta THT dancers wanacheza mwanzo mwisho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.