Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Kushakuchwa sasa,
Nilitaka nione ajabu unipite bila kuni-reply,
Ndo hzo,
ningezishona kisha nazivaa.
uzivae?...mmm!...kuvaa!...
Kushakuchwa sasa,
Nilitaka nione ajabu unipite bila kuni-reply,
Ndo hzo,
ningezishona kisha nazivaa.
mtumeee!..nakuja nikiwa skeriton tu,alafu tuone janja yenu
Ndo mana wenzio walienda kwao kujifunza lugha zaidi.
Hebu niimbie 'Leka Utigite'
Yaani acha tu.
Hebu tuombe Uongozi wa Jf watuchapishie t-shirt zenye ID zetu mgongoni afu siku wanaitisha mkutano wa wana Jf wote wa Dsm pale jangwani then tunavaa hzo t-shirt.
Hebu pata picha,kitatokea nini?
kuna jamaa mmoja alinitukana tusi zoto kweli la kama kilo 200 Ingawaje nilimripot akapigwa ban huwa naomba nimjue.ndio inatokea siku hiyo tunaonana mtashanga hata salamu hamna ni kumrukia sijui nani ataamua aisee ninahamu naye
Sipati picha jukwaa la siasa nadhani vifo vingi vingeripotiwa kutoka kule!
Mi nisingekanyaga kabisa hilo eneo naogopa mambo ya pande.
mimi ningebeba condom... alafu ningekuwa karibu na madame b ( kuhusu za nini ni private issue)
mimi ningebeba condom ... alafu ningekuwa karibu na madame b ( kuhusu za nini ni private issue)
Ninge hakikisha nakutoa duniani!
Jamani hv nyie watoto wa FB humu Jf mmefata nini?
Unanijua kiundani mpaka useme unanibebea condom?
Shem on you we kijana!!
Tafuta stupid mwenzio ndio uongee utumbo huo.
Usifuate mkumbo na
U.se.nge wa kidunia!!
Check ur comment before sending.
Stupid man/woman.
And stupid comment!!!
Hahahahahahah! Lol. Mi chimo! Ngoja nirudi msibani. Source: Gift.
Asprin kuna wa.s.enge humu watatutafutia Ban.
Jitu hata huelewi lilikozaliwa,
eti anibebee condom,
anibebee condom mimi amesikia Vgna yangu inahtaji Penis yake chafu?
Ye Choko nini.
Ayaaa! Mlete hapa If Not Why Not.... Punguza munkari mamito. Ukilambwa ban ntakojoa kitandani mwenzio.
Hebu njoo pande hii niku:busu hasira zipungue.Na niko tayari kupata :ban: kwa ajili yake.
Sio munkari,yaani kaniboa sana,
Acha tu.