Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,928
Kuna mambo yanatokea Tanzania ambayo kwa kweli watu watashindwa kuyavumilia muda c mrefu
Nashauri UN ibadili kanuni zake za kutoingilia mambo ya ndani ya nchi mwanachama kanuni hizi ndio zinafanya viongozi wa afrika wafanye watakavyo halafu wana intervin too late watu washachinjana
Narudia tena UN iingilie haya yanayotokea tz wasingoje mambo yaharibike
Nashauri UN ibadili kanuni zake za kutoingilia mambo ya ndani ya nchi mwanachama kanuni hizi ndio zinafanya viongozi wa afrika wafanye watakavyo halafu wana intervin too late watu washachinjana
Narudia tena UN iingilie haya yanayotokea tz wasingoje mambo yaharibike